tag:blogger.com,1999:blog-67091567790673878882024-03-14T04:11:40.038+03:00Maisha TimesMkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.comBlogger400125tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-20113441613954173242015-08-30T18:12:00.002+03:002015-08-30T18:12:54.181+03:00HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA MHE. EDWARD LOWASA!HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA <br />
YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU<br />
Jangwani-Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015<br />
<br /><br />
Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu<br />
1. Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa CHADEMA, CUF, NCCR na NLD umeungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi kupigania uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.<br />
2. Miaka zaidi ya hamsini ya utawala wa serikali za CCM na waasisi wake, umekuwa utawala wa wachache walio hodhi madaraka na mali za nchi. <br />
3. Leo tunaanza safari ya uhakika ya kuleta mabadiliko ya kweli nchini. <br />
a. Mabadiliko yaletayo neema na kujenga upya mfumo wa uchumi, haki na sheria nchini. <br />
b. Mabadiliko ya kuimarisha huduma za jamii kama elimu, afya, maji na makazi. <br />
c. Mabadiliko ya kuondoa umaskini. <br />
d. Mabadiliko tunayatoahidi ni mabadiliko ya kurejesha matumaini kwa Watanzania kwa kubadili hali zao za maisha. <br />
4. Kila mwaka hali na ubora wa maisha ya Watanzania imeshuka wakati tunaambiwa kuwa pato laTaifa linakuwa. <br />
5. Lakini Watanzania wanachotaka siyo takwimu bali kuona kipato chao kinakua, shule, hospitali na barabara bora zinajengwa. <br />
6. Wanataka kupata maji safi na salama ya kunywa. Wanataka makazi bora. <br />
7. CHADEMA na UKAWA, tuna dhamira ya kuleta mabadiliko ya kweli ili kuona azma ya Watanzania tangu uhuru ya kuondoa umaskini, maradhi,na ujinga inahitimishwa.<br />
8. Ili tufanye hivyo tuahitaji tufanye mabadiliko ya fikra, uongozi, sera na utendaji. <br />
9. Leo Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi za ki-uchumi, kisiasa na kijamii. Changamoto hizi ni matokeo ya sera za utawala wa Chama kimoja wa miaka hamsini. Sote ni wahanga wa siasa na sera hizi. <br />
10. Miaka Hamsini ya CCM imetosha. Tunataka mabadiliko na siyo ahadi zile zile kila mwaka.<br />
11. Tusidanganyike, CCM hawana jipya.<br />
12. Chagueni UKAWA wenye dira ya kubadili maisha ya wananchi. <br />
13. Mimi ninauchukia umaskini na mimesimamia maendeleo kwa vitendo. Nilipokuwa Waziri Mkuu nilijaribu kubadili hali hii. Nilisimamia ujenzi wa shule za kata, Chuo Kikuu cha Dodoma. Nilihakikisha mikataba mibovu ya maji inavunjwa na sasa wananchi wa kanda ya ziwa wanapata maji safi.<br />
Ndugu watanzania<br /> 14. CCM wanauliza tuna mpango gani wa kumaliza umaskini. Sisi hatuahidi tu. Tutatenda.<br />
15. Ilani yetu ni dira ya kuondoa umaskini kwa mikakati sahihi na siyo nadharia.<br />
16. Mkakati wa kuondoa umaskini si wa sekta kwa sekta bali wa sekta zote kwa pamoja. Ni ujumla wa utendaji na utekelezaji wa sera za kila sekta utakao leta maendeleo.<br />
17. Mkakati wangu na UKAWA wa kuondoa umaskini utakuwa na nguzo tano:-<br /> a. Kupunguza matumizi ya serikali na mashirika yake na kuimarisha utendaji na uwajibikaji.<br /> b. Kukuza pato la serikali kwa kudhibiti ukwepaji na misamaha ya kodi holela na kuhakikisha nchi inawekeza katika sekta muhimu na inapata gawio halisia kutoka wawekezaji<br /> c. Kukuza uchumi kwa sera na sheria endelevu ikiwa ni pamoja na kukuza biashara na uwekezaji hasa katika sekta za madini, kilimo, viwanda, ufugaji na uvuvi na kuondoa kodi kwa wanyonge.<br /> d. Kuimarisha huduma za umma kama elimu, afya, maji na makazi, na mazingira<br /> e. Kuimarisha utawala bora na mfumo wa haki na sheria chini ya Katiba ya Wananchi. <br />
18. Chini ya misingi hii na ili kufanikisha mkakati wa kuondoa umaskini, serikali yangu itafanya yafuatayo:-<br />
ELIMU BORA KWA KILA MTANZANIA<br /> Nimelisema hili huko nyuma. Nalisema tena leo. Elimu kwanza, Elimu kwanza, Elimu kwanza.<br />
Kwa hiyo mkakati wetu wa msingi utakuwa kutoa Elimu itatayogharamiwa na serikali kwa kila Mtanzania kutoka elimu ya msingi hadi Chuo Kikuu na pia:-<br />
1. Kuimarisha elimu ya teknolojia, ustadi na ufundi inayojenga uwezo wa kujiajiri na ushindani katika soko la ajira.<br /> 2. Ujenzi na uimarishaji wa miundombinu ya elimu ikiwa ni pamoja na shule za Kata. <br /> 3. Kusimamia ubora wa viwango vya elimu kote nchini. <br /> 4. Kuimarisha taaluma na mitaala katika mashule. <br />5. Kuondoa utoro darasani, na kuboresha afya za wanafunzi.<br /> 6. Kuboresha maslahi na vitendea kazi kwa walimu ikiwa ni pamoja na nyumba, posho ya kufundishia, usafiri na zana za teknolojia. <br /> 7. Kufuta michango ya maabara ya shule za kata<br />
AFYA <br /> 1. Afya na tiba ya kila Mtanzania itagharamiwa kupitia bima za gharama nafuu na mifuko ya hifadhi ya jamii<br /> 2. Tutaimarisha afya ya msingi pamoja na kinga kupunguza gharama za tiba.<br /> 3. Serikali itahakikisha kuna uwiano na upatikanaji wa watumishi wa afya katika kada mbalimbali ili kuleta tija na huduma stahiki.<br /> 4. Itaimarisha miundombinu ya afya pamoja na kujenga hospitali za kisasa ili kusogeza huduma za afya karibu na jamii na pia kuepukana na tiba za nje ya nchi.<br /> 5. Tutarejea kwa lengo la kuboresha maslahi na vitendea kazi katika sekta ya Afya ikiwa ni pamoja na nyumba na usafiri.<br /> 6. Tutathibiti ongezeko la gharama za huduma za afya bila kuathiri uendeshaji wa watoaji huduma za afya kama vile serikali na hospitali za sekta binafsi.<br />
ARDHI, MAJI NA KILIMO<br />
1. Tutaimarisha mfumo wa umiliki wa ardhi kwa Watanzania na kudhibiti migogoro ya ardhi hasa kati ya wakulima na wafugaji.<br /> 2. Tutapima ardhi yote ya Tanzania na kumilikisha vijiji na wakulima kwa hati za serikali ili kuipa thamani. <br /> 3. Tutaleta mapinduzi ya kilimo kwa kuimarisha elimu, ufundi na teknolojia ya kisasa na kumkomboa mkulima kutoka jembe la mkono. <br /> 4. Tutasimamia kilimo, ufugaji na uvuvi wa kisasa na kuunganisha sekta hizo na ya viwanda. <br /> 5. Kuhakikisha kuwa wananchi wanatunza na kulinda vyanzo vya maji.<br /> 6. Tutakuza kilimo cha umwagiliaji kwa kuwapa wakulima elimu na mikopo ya riba nafuu ya kuvuna maji na kujenga miundombinu husika.<br /> 7. Tutaweka mazingira rafiki yatakayomhakikishia kwa kila Mtanzania kupata maji safi na salama. Kumaliza kero za maji nchini kutamkomboa mwanamke kutokana na adha ya kuchota maji kwa kichwa<br /> 8. Nitafuta kodi zote za mazao na mifugo kwa wakulima na wafugaji. <br /> 9. Tutasimamia kilimo cha biashara kinachozingatia maslahi ya nchi na ya Watanzania. <br /> 10. Tutaanzisha programu maalum ya kufufua mazao asilia ya Tanzania hususan mkonge. <br /> 11. Tutaanzisha Benki ya Maendelo ya Ufugaji na Uvuvi. <br />
MIUNDOMBINU<br /> 1. Tutaboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya Taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa bandari za nchi jirani. <br /> 2. Tutajenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora hasa zile za vijijini. <br /> 3. Tutajenga reli ya kati kwa viwango vya kisasa<br /> 4. Tutajenga shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa misingi ya faida. <br /> 5. Tutajenga miundombinu ya kisasa na kuondosha misongamano ya magari hasa katika majiji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha <br /> 6. Tutaimarisha uzalishaji na usambazaji wa umeme vijijini ili kufikia zaidi ya asili mia sabini na tano ya Watanzania <br />
VIWANDA <br />
1. Tutaimarisha sekta ya viwanda kuwa mhimili wa uchumi kwa uzalishaji wa bidhaa na ajira endelevu <br /> 2. Tutajenga viwanda vipya vya kusindika mazao ya kilimo, uvuvi na ufugaji.<br /> 3. Tutahakikisha kuwa ndani ya miaka mitano mali ghafi zote za Tanzania zinasindikwa kabla ya kusafirishwa nje ili kuongeza mapato na ajira ya mamilioni ya vijana. <br /> 4. Tutaanzisha Benki ya Ukuzaji wa Viwanda <br />
UCHUMI<br /> 1. Tutabadili mfumo wa Uchumi wa nchi ili kuhakikisha kuwa mfumo wa uchumi wa Tanzania unakuwa ni wa soko-kijamii ambapo nguvu za soko zitatumikia jamii kwa serikali kuweka uwiano wa mapato unaohakikisha huduma za kijamii zinapatikana kwa ufanisi.<br /> 2. Tutalinda sekta binafsi na bidhaa za ndani kwa kuwapa Watanzania upendeleo wa maksudi kwa kipindi cha mpito ili waimarike na waweze kuhimili ushindani. Tutawapa wafanyabiashara wetu upendeleo katika manunuzi ya serikali na kuwajengea mazingira mazuri ya biashara na kodi endelevu. <br /> 3. Tutawawezesha Watanzania kupata mitaji ya biashara kwa masharti nafuu kabisa.<br /> 4. Tutavutia uwekezaji na wawekezaji wenye tija. Kuweka udhibiti wa wahamiaji wasioleta tija wala maslahi kwa Taifa. <br /> 5. Tutaimarisha sera ya ubia baina ya Serikali na Sekta binafsi kwenye maeneo muhimu ya kiuchumi na kibiashara. Pia, kuwawezesha Watanzania kuwekeza kwa njia ya ubia na wawekezaji wenye mitaji mikubwa bila kujali wanapotoka.<br /> 6. Tutaimarisha usimamizi kwa kubadilisha mfumo wa Vyama vya Ushirika nchini ili utokane na uendeshwe na wakulima wenyewe ikiwa na pamoja na kuwawezesha kuboresha makazi kwa mpango wa kushirikiana kujenga nyumba bora<br /> 7. Tutaanzisha na kuwezesha uanzishaji wa viwanda vidogovidogo vinavyotoa ajira kwa wingi kwa kuvihusisha na vyuo vya ufundi na benki maalum kwa lengo hilo.<br />
AJIRA<br /> 1. Tutasimamia swala la ajira hasa kwa vijana kwa kukuza elimu ya ufundi ili waweze kujiajiri<br /> 2. Tutazipa kipaumbele sekta zinazozalisha ajira kwa wingi hasa za viwanda, kilimo, ufugaji, uvuvi na utalii na kuzipa unafuu wa kodi ili zikue kwa haraka.<br /> 3. Tutawapa wawekezaji wakubwa katika sekta hizi upendeleo maalum na viwango vya kodi nafuu.<br />
NISHATI NA MADINI <br /> 1. Serikali itashiriki kikamilifu katika uzalishaji wa nishati<br /> 2. Itatengeneza mazingara mazuri ya kisera yatakayovutia na kuwezesha ushiriki wa Watanzania na ubia kati yao na wageni.<br /> 3. Serikali yangu itaupa uzalishaji mkubwa wa umeme wa maji kipaumbele namba moja, umeme wa makaa ya mawe kipaumbele namba mbili, umeme wa gesi asilia kipaumbele namba tatu na umeme wa urana kipaumbele namba nne. <br /> 4. Serikali itatoa vipaumbele muhimu kwenye usambazaji wa huduma kubwa ya umeme sehemu za uzalishaji uliyolenga masoko ya ndani, ya nchi jirani na ya nchi za kigeni.<br /> 5. Itapitia upya mikataba yote mikubwa ya nishati na madini ili kubaini iliyo mibovu na kuifanyia maboresho.<br /> 6. Serikali yangu itatumia sehemu ya hisa zake kwenye raslimali kubwa ya gesi asilia iliyopatikana hapa nchini kama rehani kwenye kujichukulia mikopo kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu ya mabomba ya gesi. <br /> 7. Serikali itatoza kodi na ada ndogo zaidi kwa wazawa wenye ubia kati yao na wageni kuliko zitakazotozwa kwa wageni wasiowekeza kwa kushirikisha wazawa.<br />
8. Serikali itasitisha utoaji wa misamaha ya kodi isiyo lazima kwenye sekta ya madini, na badala yake itawekeza kwenye kuongeza thamani ya raslimali zake za madini.<br /> 9. Tutakuza nishati mbadala kutamkomboa mwanamke kutokana na adha ya kukata kuni <br />
MALIASILI NA UTALII<br /> 1. Tutasimamia uvunaji na matumizi ya rasilimali za Taifa kwa manufaa ya kila Mtanzania wa kizazi hiki na kijacho<br /> 2. Tutapiga vita ujangiri na kuimarisha utunzanji wa hifadhi za taifa na mazingira <br /> 3. Tutachochea ujenzi wa miundombinu ya utalii nchini ikiwa ni pamoja na ujenzi wa mahoteli na kuimarisha mafunzo <br /> 4. Tutaongeza idadi ya watalii kufikia milion mbili ifikapo 2020. <br />
UTAWALA BORA, ULINZI WA NCHI NA USALAMA WA RAIA<br /> 1. Tutasimamia Katiba mpya inayolinda haki za msingi za wananchi na kuweka bayana mipaka ya madaraka ya serikali na viongozi, Bunge na Mahakama.<br /> 2. Tutaboresha miundobinu ya sheria na kuimarisha utendaji wa Mahakama na maslahi ya wafanyakazi<br /> 3. Tutasimamia haki za raia na kuangalia upya sheria kandamizi ili wananchi kama Masheik wa Zanzibar hawasoti jela kwa sababu za kisiasa.<br /> 4. Tutaimarisha mafunzo ya vyombo ya Polisi hasa wapelelezi na waongoza mashtaka ili wapate uwezo wa kusimamia utoaji wa haki.<br /> 5. Tutavipa vyombo vyote vya ulinzi na usalama nyenzo na kuboresha mazingira yao ya kazi na maslahi <br />
<br />UZALENDO, UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI<br /> 1. Tutajenga uzalendo ili kila Mtanzania aweze kutathmini mchango wake kwa taifa kila siku <br /> 2. Tutaimarisha nidhamu, utendaji na uwajibikaji katika Sekta ya Umma <br /> 3. Tutaimarisha mchango wa Wataalam wetu, wanawake na vijana katika kusimamia uchumi na kuwajengea mazingira stahiki ya kazi pamoja na mafao.<br /> 4. Tutapiga vita rushwa na ubadhirifu katika sekta ya Umma na binafsi <br /> 5. Tutadhibiti na kupunguza matumizi ya serikali ikiwa ni pamoja na kufuta safari za watumishi serikalini zisizokuwa muhimu pamoja na zile za Rais na kupiga marufuku matumizi ya mashangingi serikalini. <br /> 6. Tutadhibiti deni la Taifa kwa kuanza na ukaguzi wa madeni ya serikali ili kuhakiki jinsi yalivyotumika<br /> 7. Tutaimarisha uwazi na kuondoa usiri katika shughuli za serikali na kuweka bayana mikataba yote ya nchi ikiwa ni pamoja na ile ya mafuta, madini na gesi asilia<br />
<br /> KUKUZA PATO LA SERIKALI<br /> 1. Tutadhibiti mapato kutokana na raslimali kwa kupitia upya viwango vya mirabaha kutokana na madini na gesi asilia ili kuhakikisha kuwa Tanzania inapata gawio stahiki. <br /> 2. Serikali itaanzisha Wizara maalum itakayosimamia nishati ya gesi na mafuta.<br /> 3. Tutaimarisha ofisi ya Msajili wa Hazina ili kusimamia vema uwekezaji wa Serikali katika mashirika na mapato yake. <br /> 4. Tutahakikisha kuwa mashirika ya umma yanaendeshwa kwa misingi ya faida na uadilifu.<br /> 5. Tutadhibiti ukwepaji kodi za ushuru wa forodha na kupiga marufuku misamaha ya kodi holela ili kuokoa mabilioni ya fedha yanayopotea kila wiki. <br /> 6. Sambamba na hilo tutarahisisha utaratibu wa kulipa kodi ili kuondoa kero na mazingira ya rushwa. Kwa kudhibiti makusanyo ya kodi tutakusanya fedha za kugharimia huduma za msingi kama afya na elimu kikamilifu.<br />
<br /> KUIMARISHA MUUNGANO <br /> 1. Tutaimarisha umoja, usalama na udugu wa Watanzania na Muungano kwa misingi ya haki na usawa<br />
WANAWAKE, WATOTO NA WAZEE<br /> 1. Wanawake watapewa fursa na haki sawa katika elimu na uchumi ili waweze bila kuwezeshwa.<br /> 2. Tutahakikisha wazazi wanapata fursa ya kuwa walezi na wafanyakazi kwa kuongeza urefu wa likizo ya uzazi<br /> 3. Tutaimarisha elimu ya watoto hasa wasichana na kukuza fursa zao na kukomesha ndoa za watoto wadogo.<br /> 4. Tutaongeza uwakilishi wa akina mama katika ngazi zote serikalini na mashirika yake kufikia asili mia hamsini ifikapo 2020.<br /> 5. Wazee na wasiojiweza watapewa posho ya kujikimu inayokidhi mahitaji ya msingi itakayowawezesha kuishi kwa heshima na kulinda utu wao ndani ya familia na jamii zao.<br />
SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO<br />
1. Tutaendeleza na kuwezesha vipaji vya sanaa na michezo <br /> 2. Tutarudisha viwanja vya michezo vilivyovamiwa <br /> 3. Tutafuta kodi zote za vifaa vya michezo.<br /> 4. Tutadhibiti viwango na maadili ya bidhaa za nje zinazoingizwa nchini na kuzitoza kodi halisia<br /> 5. Tutajenga taasisi na vyuo vya kukuza michezo ili kuhakikisha kuwa ndani ya miaka mitano Tanzania inashiriki kwa ushindi katika mashindano ya kimataifa ya soka na riadha <br /> 6. Tutalinda Hakimiliki za sanaa nchini<br /> 7. Tutafuta kodi za sanaa kwa wasanii chipukizi ili kuwapa muda kwa kujijenga.<br />
SERA YA MAMBO YA NJE YENYE TIJA KWA TAIFA<br />
1. Tutakuza ushirikiano wa Kimataifa wenye tija na Ujirani mwema. <br />
2. Tutatetea haki za binadamu, usawa wa nchi na kuimarisha ushiriki wa Tanzania katika diplomasia ya kimataifa. <br />
3. Tutakuza umoja na ushirikiano wa Umoja wa Afrika, Jumuia ya Afrika Mashariki, SADC na Umoja wa Mataifa.<br />
4. Tutaimarisha Umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na kudai mabadiliko ya mfumo ili kuleta usawa wa nchi shiriki.<br />
Ndugu Watanzania<br />
Naomba nimalizie kwa kusema yafuatayo<br />
1. Natambua kuwa uongozi ni dhamana. Mkinichagua nitaienzi dhamana hiyo kwa utendaji uliotukuka. <br />
2. Nawaahidi Watanzania kuwa kwa uwezo, akili, uzoefu na nguvu zangu zote nitawatumikia. Nawaomba nanyi mniahidi jasho lenu na uwezo wenu wote ili kwa pamoja tuvuke. Tutajikomboa toka utawala wa CCM unaodumaza uchumi na maendeleo. Tutaanza safari ya uhakika kuondoa umaskini.<br />
3. Mabadiliko pia ni kuthamini utu na kukataa hadaa ya hongo ili kuuza haki yako ya kuchagua. Msikubali rubuni za uchaguzi kwa kupewa pesa au vitu. Rushwa ya uchaguzi ndiyo sera ya CCM. Ukikubali basi umeuza pia haki na sauti yako ya kuwalalamikia walio madarakani. Imetosha. Tukatae. Tulinde utu na haki zetu. Tuchague mabadiliko.<br />
4. Mabadiliko ni fikra. Ni kufikiri na kutenda tofauti. Hatuwezi kuendelea kufikiri na kutenda kama kwamba hatuna dharura ya maendeleo. Kwanza tuanze kwa kufanya mabadiliko na tujiamini kuwa sisi kama Taifa tunaweza. Tunaweza kujitegemea na kuleta maendeleo yetu wenyewe bila kutegemea wafadhili. Hii si ndoto. Nchi nyingi zimefanikiwa kuondoa umaskini katika kizazi kimoja. Tujifunze kutoka kwao.<br />
5. Tuwe taifa linalotumia raslimali zake kujiendeleza na siyo kuwanufaisha wageni na kuwafanya Watanzania watwana katika nchi yao. Inabidi tuache kuwa taifa ombaomba. Tuache kuukubali na kuvaa umaskini kama joho la fahari. <br />
6. Mabadiliko ya kweli hayawezi kuletwa na CCM. Tusitegemee kuwa leo wana jipya. Ndiyo maana ahadi walizotoa miaka thelathini iliyopita ndizo wametoa juzi. Tukatae hadaa. Miaka hamsini ya CCM imetosha. <br />
7. Tunaamani kwamba tutashinda kwa sababu Watanzania mpo nyuma yetu. Watanzania mmeamua kuleta mabadiliko. Kura yako ndiyo itakayokuwa mkombozi wako. Hakikisha unapiga na kuilinda kura yako. Wakati wa mabadiliko ni sasa.<br />
Mungu ibariki Tanzania. Asanteni sanaMkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Dar es Salaam, Tanzania-6.7663053999999994 39.195972900000015-7.2708739 38.550525900000018 -6.2617368999999989 39.841419900000012tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-44919058237667834222014-11-22T00:00:00.000+03:002014-11-22T14:11:05.093+03:00Sakata la ESCROW: Ripoti inaonyesha Vigogo zaidi ya 50 watakumbwa na gharika.<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmRsn14ettEz1ERA_Viw0ry0t_rkTxfGSlhYyRNmTmm-ctnGcFbrsZDyOq-HyAwDQtydNYGIldsu1ajQgzNhByieTzh7Xr4EMaNpjvJzSkdF79DKbc7_OukV_WOSCartAEvVINXcmnGgc/s1600/Escrow123.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmRsn14ettEz1ERA_Viw0ry0t_rkTxfGSlhYyRNmTmm-ctnGcFbrsZDyOq-HyAwDQtydNYGIldsu1ajQgzNhByieTzh7Xr4EMaNpjvJzSkdF79DKbc7_OukV_WOSCartAEvVINXcmnGgc/s1600/Escrow123.jpg" height="340" width="640" /></a></div>
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px; text-align: center;">
<strong style="color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 1.4em; margin: 0px; padding: 0px;">Dar/Dodoma.</strong><span style="color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 1.4em;"> </span><span style="color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 1.4em;">Moto wa kashfa ya ufisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow unaoendelea kuwaka bungeni, sasa unaonekana kugeuka gharika inayoweza kuwakumba vigogo wengi zaidi na kuiweka Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika hali ngumu.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kashfa hiyo ya uchotaji wa Sh306 bilioni za akaunti ya Escrow, inahofiwa kuwakumba vigogo zaidi ya 50 ndani ya Serikali wakiwamo mawaziri, makatibu wakuu, wabunge, majaji na wakuu wa taasisi za Serikali waliohusika.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Habari zilizopatikana zinaeleza kuwa kutokana na kuwapo kwa idadi kubwa ya mawaziri na watendaji wa Serikali na mahakama, inatishia anguko la Serikali.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Kuna waziri (anamtaja) ameniambia ameangalia ile orodha ya watu wanaodaiwa kuchukua fedha hizo ni zaidi ya 52. Hofu yangu hili jambo likiingia bungeni na kujadiliwa huenda likasababisha kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri kwa mara nyingine,” alisema mbunge mmoja kutoka Kanda ya Mashariki.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><strong style="margin: 0px; padding: 0px;">Wabunge wajipanga </strong><span style="line-height: 1.4em;">Mbunge mwingine kutoka Zanzibar (CCM), alisema kuwa anasubiri kwa hamu kuchangia katika mjadala huo ili waondoke wale wote ambao wamekwapua fedha hizo.</span></span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Juzi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliitisha kikao cha mawaziri ambacho kilihudhuriwa na baadhi ya mawaziri na walifikia uamuzi kuwa suala hilo litajadiliwa ndani ya chama kabla ya kuingia ndani ya Bunge.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Kinachosubiriwa ni ripoti ya Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) halafu tutakutana wabunge wa CCM kabla ya kwenda bungeni,” alisema mmoja wa wajumbe wa kikao hicho.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Pamoja na hali hiyo, wabunge katika makundi makundi kwa wiki nzima wamesikika wakijadili jambo hilo huku wakilihusisha na mbio za urais mwakani.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mbunge mmoja (jina tunalo) alisema kuhusishwa kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika sakata hilo kunatokana na mtuhumiwa mmoja ambaye ni kiongozi katika Wizara ya Nishati na Madini, kuwa mmoja wa meneja wake wa kampeni.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Hakuna mahali ambapo Pinda ameguswa moja kwa moja katika ripoti ya CAG (Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali) wala Takukuru (Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa), bali wanasema ni kwa sababu ya kampeni za urais na mhusika mmoja katika sakata hilo anatajwa kuwa kama Pinda akipata urais, yeye ndiye atakayekuwa Katibu Mkuu Kiongozi,” alisema mbunge huyo kutoka upinzani.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Jana Mbunge wa Kilwa Kaskazini (CCM), Murtaza Mangungu akizungumza na gazeti hili, alisema sakata hilo linatakiwa liishe kwa kuwa linaumiza uchumi wa nchi kwa kuwa mtambo wa IPTL ni matatizo.</span></div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Hili jambo kwa namna yoyote lazima liishe na kwamba mwisho wake ni bora tutaifishe ule mtambo na ufie mbali,” alisema Mangungu.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisema linatakiwa liishe kwa kuwa limekuwa ni jambo la kushutumiana kila upande kitu ambacho si kizuri, na kwamba Bunge linapaswa kusimama kuonyesha makali yake.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Ni mzigo kwa wananchi hivyo lifike mwisho. Ni heri shari yenye heri kuliko heri yenye shari,” alisema Mangungu.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mbunge wa Ole (CUF), Rajabu Mohammed Mbarouk alisema sakata hilo limetokea juu na sasa limefika chini na kukwamisha mambo mengine yasifanyike.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Bunge haliwezi kuisha kwa kuwa linagusa masilahi ya watu wengi, pia linagusa masilahi ya chama. Hili hata lijadiliwe bungeni haliwezi kuisha hivyo,” alisema Mbarouk.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisema ni jambo la ajabu kama alivyosema Zitto kwamba halikufaa kufanyika kwenye nchi ambayo ina dola, bali lingefanyika kwenye nchi ambazo hazina mhimili wa dola kama Somalia.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Haya mambo yanaweza kumwangusha Waziri Mkuu na wengine, hivyo ni jambo zito,” alisema Mbarouk.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi), Moses Machali akiwasilisha maoni ya kambi ya upinzani kuridhia Itifaki ya Uzuiaji wa Vitendo Haramu dhidi ya Miundombinu jana, alisema viongozi kama wabunge na mawaziri wametajwa kupiga dili katika akaunti ya Tegeta Escrow kwa kuwa viongozi wa Serikali hawaonyeshi dhamira njema katika kuheshimu misingi ya utawala bora na ndiyo maana wezi na mafisadi wanaotakatisha fedha kiharamu wameendelea kuachwa.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisema katika uchotwaji wa fedha hizo, Serikali imedhihirisha wazi kwamba ufisadi ni sehemu ya maisha ya baadhi ya mawaziri na watendaji wa Serikali.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Ni aibu na majanga kwa Waziri Mkuu na mawaziri wengine kusema kwamba suala la Escrow haliwezi kuzungumzwa bungeni kwa sababu eti liko mahakamani, jambo linaloashiria Waziri Mkuu anakusudia kuwalinda wale wanaotajwa kuchota fedha hizo,” Machali alisema na kuongeza:</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Mbaya zaidi ni pale inapoonekana wazi mhimili wa Bunge unaingiliwa na mhimili mwingine unaotajwa kuliandikia Bunge barua likitaka kutojadiliwa sakata la Escrow jambo ambalo ni dharau kwa Bunge.”</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kwa upande wake, Zitto ambaye kamati yake inapitia ripoti hiyo hakutaka kuzungumzia chochote kuhusu sakata hilo lakini juzi aliwataka wabunge wajiandae kupambana na taarifa atakazoziwasilisha mezani mara tu ripoti hiyo itakapokabidhiwa bungeni kwa ajili ya majadiliano.</span></div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><strong style="margin: 0px; padding: 0px;">Escrow yavuka mipaka ya nchi </strong><span style="line-height: 1.4em;">Sakata la utoroshwaji wa fedha katika akaunti ya Escrow ambalo linawaandama baadhi ya watendaji wakuu wa Serikali limejitokeza kwa sehemu kubwa katika baadhi ya magazeti ya nchi za Magharibi yaliyohoji jinsi Serikali inavyoingiwa na kigugumizi cha kulipatia ufumbuzi sakata hilo.</span></span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Magazeti hayo likiwamo DailyMail la Uingereza ambalo lililowahi kufichua kuwapo kwa vitendo vya ufisadi katika uwindaji wa wanyamapori kulikolisababishia taifa hasara kubwa, lilisema kuwa Tanzania inaendelea kuandamwa na jinamizi la ufujaji wa mali ya umma.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">DailyMail limesema wabunge wameibana Serikali wakitaka kujadiliwa kwa ripoti ya Escrow ili kuliokoa taifa ambalo tayari limeanza kuonja machungu ya kusitishiwa misaada kutoka kwa wafadhili wa kigeni.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Katika ripoti yake hiyo ambayo imelinukuu Shirika la Habari la Reuters, DailyMail ilisema rushwa ni ugonjwa unaoendelea kuiandama Tanzania na kwamba vitendo hivyo sasa vimevuka mipaka na kuwakwaza wawekezaji wa kigeni.</span></div>
</div>
<div style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Limesema kuwa Tanzania ambayo hivi karibuni ilitangaza kugundua hifadhi kubwa ya gesi iko katika njiapanda na bado haieleweki hatima yake hasa baada ya Serikali kuonyesha kuwa haiko tayari kuruhusu ripoti hiyo ijadiliwe hadharani.</span></div>
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Chanzo: Mwananchi</span></div>
</div>
</div>
</div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Dodoma, Tanzania-6.173056 35.74194399999999-6.29935 35.580582499999991 -6.046762 35.903305499999988tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-63709884633811337832014-11-12T00:00:00.000+03:002014-11-12T11:33:35.204+03:00Samson Mwigamba atimuliwa uongozi ACT-Tanzania, Prof.Kitila, Mchange wapewa karipio kali!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSvBcecmyULALH6jxeY5Aaf8YJAuCObq1WYesQfm0M6UuvWlV11vQHS5cAugosZwImAp9jjhTn3hgPls8et2cUSKBnSbZNgd36kxeUSJ7phqxwhmLhgtpTfVIJhWPVXCiMGhGmEFdYijo/s1600/mwigamba.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSvBcecmyULALH6jxeY5Aaf8YJAuCObq1WYesQfm0M6UuvWlV11vQHS5cAugosZwImAp9jjhTn3hgPls8et2cUSKBnSbZNgd36kxeUSJ7phqxwhmLhgtpTfVIJhWPVXCiMGhGmEFdYijo/s640/mwigamba.JPG" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: #fafafa; text-align: start;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Katibu Mkuu wa ACT- Tanzania Samson Mwigamba (Katikati)</span></span></div>
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafafa;">Katibu Mkuu wa ACT- Tanzania Samson Mwigamba amesimamishwa uongozi ndani ya chama hicho kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili,kuvunja katiba na ubadhirifu ndani ya chama hicho.</span><br style="background-color: #fafafa;" /><br style="background-color: #fafafa;" /><span style="background-color: #fafafa;">Taarifa kutoka kwa waasisi wa chama hicho ambao ni Greyson Nyakarungu na Leopold Mahona zinasema mbali na Mwigamba pia chama hicho kimetoa karipio kali kwa viongozi waandamizi wa chama hicho Professor Kitila Mkumbo na Habib Mchange kwa tuhuma mbalimbali.</span><br style="background-color: #fafafa;" /><br style="background-color: #fafafa;" /><span style="background-color: #fafafa;">Ikumbukwe Samson Mwigamba,Prof Kitila Mkumbo na Zitto Kabwe walitimuliwa uongozi ndani ya CHADEMA mapema mwaka huu kwa tuhuma kama hizi na kusababisha kukimbilia chama cha ACT Tanzania.</span><br style="background-color: #fafafa;" /><br style="background-color: #fafafa;" /><span style="background-color: #fafafa;">Chanzo:Mtanzania Jumatano</span><br style="background-color: #fafafa;" /><br style="background-color: #fafafa;" /><span style="background-color: #fafafa;">Habari zaidi</span><br style="background-color: #fafafa;" /></span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjBJjPgB1wRhKY6kfyzxORSfJQHSDPS4zI0REsl68ZPmGBSl76tvEFgE0mptDyOlVwafqt4jRfwd-4bNZhyscErwfB-YJX75rXuJ_TkXBCaxNUGu6C6tMi8lUj3IitPwSpA4LoIFtIWKbQ/s1600/mchange.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjBJjPgB1wRhKY6kfyzxORSfJQHSDPS4zI0REsl68ZPmGBSl76tvEFgE0mptDyOlVwafqt4jRfwd-4bNZhyscErwfB-YJX75rXuJ_TkXBCaxNUGu6C6tMi8lUj3IitPwSpA4LoIFtIWKbQ/s640/mchange.jpg" width="640" /></a></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> Habib Mchange</span></div>
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj45SULZp4A5ngDmtVKxyjQbBErvc1FrQKDJkJue3gy5hPUhphinT8RDGJbzOyLL9tq0TRbO18xJJXZuQwmgoKKhQuOlo99y16_31XhacNY_Z-Gt2Kbq0SX2LMq5NkQFmg94uk69YA-pY0/s1600/kitila+na+zitto.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj45SULZp4A5ngDmtVKxyjQbBErvc1FrQKDJkJue3gy5hPUhphinT8RDGJbzOyLL9tq0TRbO18xJJXZuQwmgoKKhQuOlo99y16_31XhacNY_Z-Gt2Kbq0SX2LMq5NkQFmg94uk69YA-pY0/s640/kitila+na+zitto.JPG" width="640" /></a></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kitila Mkumbo</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafafa;"><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjV22LTs7Ywp8EPe4sRcQE-t6IBS3h6L6HCQMMYOIWBPpqc1gjQJnFsHV0rVi1u2dWmeMuY6Zkd5CsdwrGpA4MYGIwMELT1hE5zXrYLASaQaD1dgQ3f-WdG_1Np7QQyH4JlmcZJpLymvro/s1600/Zitto.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="440" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjV22LTs7Ywp8EPe4sRcQE-t6IBS3h6L6HCQMMYOIWBPpqc1gjQJnFsHV0rVi1u2dWmeMuY6Zkd5CsdwrGpA4MYGIwMELT1hE5zXrYLASaQaD1dgQ3f-WdG_1Np7QQyH4JlmcZJpLymvro/s640/Zitto.jpg" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafafa;">Zitto Kabwe</span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafafa;"><br /></span></span></div>
Waasisi wa ACT Tanzania Greyson Nyakarungu na Leopold Mahona waliwaambia waandishi wa habari jana kuwa waliwakaribisha Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba ndani ya chama hicho kwa nia njema kumbe ni wasaliti na walaghai wakubwa.</span><br style="background-color: #fafafa;" /><br style="background-color: #fafafa;" /><span style="background-color: #fafafa;">Alisema kwanza kina Mwigamba wanajivika uasisi wa ACT huku wakijua si kweli. Pia kina Mwigamba wanatuhumiwa kwenda ofisi ya Msajili kubadili nembo ya chama kinyume cha utaratibu. Pia wanatuhumiwa kusajili katiba nyingine kinyume na Katiba waliyoandaa waasisi na kupatia chama usajili.</span><br style="background-color: #fafafa;" /><br style="background-color: #fafafa;" /><span style="background-color: #fafafa;">Nyakarungu amesema tayari Waasisi halali wa ACT wameshamwandikia barua msajili wa vyama kumuelezea juu ya uasi unaofanywa na Mwigamba na Kitila.</span></span>Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-18321730159091752472014-11-05T01:00:00.000+03:002014-11-05T16:02:34.085+03:00UKAWA wanasa waraka wa siri wa ikulu kuingilia mchakato wa katiba!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-peqbg3-3A-Thc3niIktVenW1Kd4FoANRE3IhuBn9eUrbxtFuMIm83yrNPX08HTN-hy9JlLNQDGT0jEl5pjbTlNFdfrVi9qwhYXDuGwtWcPfl0P0Uufb6ai4R78SarjpcC-AJZiVhv1U/s1600/UKAWAAAA.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-peqbg3-3A-Thc3niIktVenW1Kd4FoANRE3IhuBn9eUrbxtFuMIm83yrNPX08HTN-hy9JlLNQDGT0jEl5pjbTlNFdfrVi9qwhYXDuGwtWcPfl0P0Uufb6ai4R78SarjpcC-AJZiVhv1U/s1600/UKAWAAAA.jpg" height="322" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: #fafafa; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Viongozi wa vyama vinavyounda umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)</span></div>
<span style="background-color: #fafafa;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><div>
<span style="background-color: #fafafa;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span></div>
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umeibua maeneo yanayoongeza mgogoro kwenye mchakato wa Katiba inayopendekezwa, ukieleza kuwa serikali inaingilia zoezi hilo.<br /><br />Aidha, umeibua shutuma nzito ukidai kuwa serikali imetenga Sh. bilioni 2.5, kwa ajili ya kutoa mada kwenye vyombo mbalimbali vya habari kutaka wananchi waipigie kura ya ndiyo wakati hairuhusiwi kisheria.<br /><br />Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Prof. Ibrahim Lipumba, alisema sheria ya kura ya maoni inaielekeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kusimamia mchakato wa kura ya maoni kuanzia kuboresha daftari la wapigakura hadi kutangaza tarehe ya kupigakura ya maoni.<br /><br />Alisema kinyume cha sheria hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, alikaririwa akitangaza kuwa kura ya maoni itafanyika Machi 30 wakati Rais Jakaya Kikwete naye alitangaza kuwa kura hiyo itapigwa Aprili, mwakani.<br /><br />Alisema uboreshaji wa daftari haujafanyika, wala kazi ya kutoa elimu kwa umma inayopaswa kufanywa na Nec bado haijaanza, lakini katika hali ya kushangaza tayari serikali imetangaza tarehe ya kupiga kura.<br /><br />“Lakini la kustaajabisha ni kwamba Ikulu imeandaa mpango ambao umeelekezwa na Rais Kikwete wa kufanya kampeni utakaogharimu Sh. bilioni 2.5 kwa kutumia vyombo vya habari ili kuwashawishi wananchi waipigie kura ya ndiyo Katiba inayopendekezwa kwa sababu ni ya serikali,” alisema.<br /><br />Prof. Lipumba alisema sheria haijaviruhusu vyombo vya serikali wajibu wa kufanya kampeni badala yake ni Nec na asasi za kiraia zenye jukumu la kutoa elimu kwa raia na kuunda makundi mawili ya kufanya kampeni.<br /><br />“Sasa serikali ambayo haimo ndani ya sheria imejisajili yenyewe na kuandaa mpango wa kufanya kampeni. Inasikitisha ambavyo Rais Kikwete haheshimu sheria za nchi…anaanzisha kikundi ndani ya Ikulu kitakachotumia fedha za wananchi kufanya kampeni hii,” alisema.<br /><br />Kwa upande wake, Katibu wa Ukawa, Dk. Wilbrod Slaa, alisema umoja huo umepata waraka wa Ikulu unaoeleza namna fedha hizo zitakavyotumika ‘kunyonga’ mawazo ya wananchi kwenye kuamua hatma ya Katiba pendekezwa ambao utagharimu kiasi hicho cha fedha.<br /><br />Alisema katika waraka huo, Rais Kikwete amemwelekeza Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuitangaza Katiba pendekezwa ili waipigie kura ya ndiyo ilhali Rais alipaswa kuelekeza wananchi waisome na kuielewa ndipo wapige kura ya ndiyo au hapana kwa utashi wao.<br /><br />“Kifungu cha tatu cha waraka huu kinaeleza kuwa Rais Kikwete ametoa maelekezo ya kutaka wananchi waipigie Katiba pendekezwa kura ya ndiyo ili kuiepusha serikali na aibu na tahayari ambayo inaweza kutokea kama wananchi wataikataa Katiba,” alisema.<br /><br />Dk. Slaa ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chadema, alisema mpango huo unahusisha kampeni ya kuandaa vipindi kwenye televisheni, radio na makala kwenye magazeti ambazo zote zitalipiwa.<br /><br />Naye Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia, alisema umoja huo haujachoka na hautakata tamaa katika kudai Katiba mpya na kwamba suala la Katiba linahitaji maridhiano na siyo mabavu. Alisema hakuna mtu mwenye haki ya kuamua kuhusu Katiba pendekezwa na kuhofia kwamba mpasuko mkubwa zaidi utaendelea kutokea nchini.<br /><br /><b>WAMPA POLE WARIOBA</b>Umoja huo umempa pole aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, na kumtaka awe ‘ngangari’ kuendelea kudai Katiba.<br /><br />Alisema asasi za kiraia ikiwamo Taasisi ya Mwalimu Nyerere zina haki kisheria ya kutoa elimu kwa umma na kwamba alichofanyiwa Jaji Warioba ni ukiukwaji wa sheria hiyo.<br />“Jaji Warioba ni mtu mwenye heshima kubwa nchini, kwa CCM kuratibu mbinu hizi ni wazi kuna mkakati wa kuzuia mawazo ya watu wenye mawazo tofauti kutoa maoni yao,” alisema Prof. Lipumba.<br /><br />Alisema vurugu alizofanyiwa Jaji Warioba zimelenga kuwanyamazisha wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba kueleza kilichopo kwenye Katiba pendekezwa.<br /><br />Mbatia amemtaka Jaji Warioba na wananchi wengine kutokata tamaa kuhusu Katiba kwa kuwa kufanya hivyo hakutaivusha nchi.<br /><br />Wakati huo huo, Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Halima Mdee, ameituhumu Ikulu kwamba imeandaa mkakati wa kuwadanganya wananchi na kuwashawishi kuipigia kura ya ndiyo Katiba inayopendekezwa kupitia vipindi vya Radio na Televisheni pamoja na kuchapisha makala katika magazeti.<br /><br />Kwa mujibu wa Mdee, mkakati huo unaojulikana kama ‘ijue Katiba inayopendekezwa’ unatarajia kutumia Sh. bilioni 2.5 ambao kwa vipindi vya radio na televisheni pekee vimetengewa milioni 700.<br /><br />Mdee alisema hayo wakati akihutubia wananchi wa kijiji cha Mwandoya, wilayani Meatu mkoani Simiyu juzi jioni ikiwa ni sehemu ya ziara yake anayoifanya katika mikoa ya Kanda ya Ziwa Mashariki.<br /><br />Alisema lengo la mkakati huo ni kuiepusha serikali na aibu na tahayari ambayo inaweza kutokea, endapo wananchi wataikataa katika kura ya maoni.<br />Pia alisema ni kukabiliana na upotoshaji ambao Ikulu imedai unafanywa na makundi yanayoipinga katiba hiyo.<br /><br />Mdee alisema vipindi hivyo pia vitahusisha radio za jamii kwenye wilaya na mikoa mbalimbali na kuandika makala mbalimbali kwenye magazeti ambazo zitakuwa zinaandikwa vichwa vya habari vyenye kushawishi kuunga mkono kupigia kura ya ndiyo Katiba inayopendekezwa.<br /><br />Mdee alisema tayari Ikulu imeagiza kuwapo na kamati ya kudumu ya habari ya kusimamia mpango wa kuelimisha umma hadi pale itakapofanyika kura ya maoni.<br />Mdee alisema jumla ya jopo la watu 20 wameandaliwa kushiriki katika vipindi hivyo na kila kwamba kila mshiriki atakuwa analipwa kati ya Sh. 500,000 na Sh. 200,000 kwa kila kipindi.<br /><br />“Wamechakachua maoni ya wananchi ambayo waliyapendekeza, wameweka ya kwao na kuyapitisha kwa lazima, sasa wameona kwamba upepo umewakalia vibaya kutokana na uchakachuaji huo sasa Ikulu imeamua kuweka mkakati wa kuwalaghai na kuwashinikiza wananchi waipigie kura ya ndiyo katiba ambayo wamechakachua maoni yao ili kufanikisha mipango yao,” alisema Mdee.<br /><br /><b>MAJIBU YA IKULU </b>Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu, alipoulizwa kuhusiana na taarifa hiyo, alisema alichokisema Mdee ni Proposal (pendekezo) tu na siyo bajeti.<br />Alisema haoni tatizo kwa serikali kuandaa mpango huo kwa kuwa lengo lake ni kuelimisha umma juu ya Katiba inayopendekezwa.<br /><br />“Mimi sioni ubaya serikali kuandaa kitu hicho kwa sababu lengo lake ni kutoa elimu kwa umma na kama yeye (Mdee) anavyozunguka nchi nzima kuipinga Katiba, vivyo hivyo kuna wengine watazunguka nchi nzima kuipigia kura ya ndiyo,” alisema Rweyemamu.</span><br /></span><br style="background-color: #fafafa; color: #333333; font-family: Verdana, Arial, Tahoma, Calibri, Geneva, sans-serif; font-size: 13px;" /><span style="background-color: #fafafa; color: #343434; font-family: Verdana, Arial, Tahoma, Calibri, Geneva, sans-serif;"><span style="color: #008cfe; font-size: x-small;"><b><span style="font-family: Georgia;">CHANZO: NIPASHE</span></b></span></span><br />Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Dar es Salaam, Tanzania-6.8 39.283332999999971-7.304568 38.637885999999973 -6.295432 39.928779999999968tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-89512448510127388902014-09-18T11:25:00.000+03:002014-09-19T11:30:56.078+03:00Jeshi la Polisi laendeleza vipigo kwa Waandishi wa habari!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjij4kcx6-1F5DodVcq1x8huAeFjEsuTeVOvuv4LacusS0XMSQqBZ8rdMjGWjevK-tYLiXzSvqxDOuDkqRSAttG8N32xFlj1DmcDuCKylTbmBMOawntshEyrrIhfjQJRPHa0HSIdabY1Pw/s1600/policcm+vs+waandishi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjij4kcx6-1F5DodVcq1x8huAeFjEsuTeVOvuv4LacusS0XMSQqBZ8rdMjGWjevK-tYLiXzSvqxDOuDkqRSAttG8N32xFlj1DmcDuCKylTbmBMOawntshEyrrIhfjQJRPHa0HSIdabY1Pw/s1600/policcm+vs+waandishi.jpg" height="321" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: white; line-height: 22px;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Askari wa Jeshi la Polisi wa kuzuia ghasia wakiwazuia kwa mbwa Waandishi wa habari kufanya kazi yao.</span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6n6tRp6nt0jssFOtV3bNELGA8nLwuKXDFKNLMX9EfulU-mwzU23iovlchqHWlHkKiEbMI34hNKOgy0Al8SaZtdHAY4XtprjmC9W_QdGFQGIbjxjK5rwjl1k81HzrowOIaFYdXI3pUNMw/s1600/Policcm+vs+waandishi2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6n6tRp6nt0jssFOtV3bNELGA8nLwuKXDFKNLMX9EfulU-mwzU23iovlchqHWlHkKiEbMI34hNKOgy0Al8SaZtdHAY4XtprjmC9W_QdGFQGIbjxjK5rwjl1k81HzrowOIaFYdXI3pUNMw/s1600/Policcm+vs+waandishi2.jpg" height="366" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: white; color: #434343; font-family: 'PT Sans'; font-size: 14px; line-height: 22px; text-align: start;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhEgI1ciD36mgwGLRFqpcJ-LHI-Fzi-wwSTwO_4i3pYOjSUg-EJa4joA6lOsydsKZtbdYPUOqljRqCkSHfuGbUgeHoqVv-YFICVjn8CcG9C3jGAsxqgSoqyBPTAff_90HN5srl3eJtwMm0/s1600/Policcm+vs+waandishi3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhEgI1ciD36mgwGLRFqpcJ-LHI-Fzi-wwSTwO_4i3pYOjSUg-EJa4joA6lOsydsKZtbdYPUOqljRqCkSHfuGbUgeHoqVv-YFICVjn8CcG9C3jGAsxqgSoqyBPTAff_90HN5srl3eJtwMm0/s1600/Policcm+vs+waandishi3.jpg" height="426" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 22px; text-align: start;">Askari wa Jeshi la Polisi wa kuzuia ghasia wakimpa kipigo cha mbwa mwizi Mwandishi wa habari Bwn. </span><span style="background-color: white; line-height: 19.3199996948242px;">Josephat Isango</span></span></div>
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Muendelezo wa Jeshi la Polisi nchini kuwanyanyasa, kuwatisha waandishi wa habari na kuwafanya wasitekeleze wajibu wao ipasavyo, ilijidhihirisha wazi jana makao makuu ya jeshi hilo, baada ya waandishi kupigwa, kukimbizwa na mbwa ili wasichukue taarifa za kuhojiwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tukio la kupigwa na kudhalilishwa kwa waandishi wa habari lilitokea jana, limetokea ikiwa ni siku moja baada ya Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini kushirikiana na waandishi wa habari katika kufanya kazi kwa ajili ya kulinda amani ya nchi.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Waandishi waliyopigwa na Polisi hiyo jana ni Josephat Isango anayeandikia gazeti la Tanzania Daima huku Yusuph Badi ambaye ni mpiga picha wa magazeti ya serikali, akipigwa na ‘kusakiziwa’ mbwa ili wamuume.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Dalili za waandishi wa habari kuzuiwa kufanya kazi yao zilianza kujionesha mapema jana wakati Mbowe alipowasili katika makao makuu ya Jeshi la Polisi, ambako waandishi walizuiwa wasiingie katika eneo hilo kwa ajili ya kuchukua picha na maelezo ya kiongozi huyo.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Akiwa anawaongoza askari wake katika amri ya kushambuliwa kwa waandishi wa habari hiyo jana, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja, alisikika mara kwa mara akiwaagiza vijana wake wawaondoe waandishi na hata kuwasakizia mbwa.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Chagonja, alisikika mara kadhaa akitoa amri kwa askari kuwa wawafungulie mbwa ili waweze kujeruhi angalau mtu mmoja kutoa funzo ili wafuasi wa CHADEMA waliokuwa kwenye lango kumsubiri Mbowe waondoke.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Waondoeni wote msiwaruhusu hata hao waandishi kuingia humu, ninyi askari wa mbwa mnafanya nini hapo wakati watu wamejazana mlangoni wapelekeeni hao,” alisikika akisema Kamishna Chagonja.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mara baada ya maelekezo hayo ya Kamishna Chagonja, askari waliokuwa na mbwa walianza kuwakimbiza wafuasi wa CHADEMA na waandishi wa habari.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Katika hali ya kustaajabisha, askari watatu kwa pamoja walimfuata Josephat Isango, aliyekuwa akitoka katika lango kuu na kuanza kumshambulia kwa rungu na mateke hali iliyowafanya waandishi wa habari kuingilia kati kwa ajili ya kumnusuru.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Baada ya waandishi kumnusuru Isango, kipigo kiligeukia kwa Mwandishi Yusuph Badi, ambaye wakati akishambuliwa alianguka chini huku askari wenye mbwa wakiwaachia kwa ajili ya kumshambulia.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kilichomnusuru Badi asiumwe na mbwa hao ni kamera aliyoishika mkononi na kujikinga ili asidhurike, kitendo hicho cha kujikinga kilisababisha kuharibika kwa kifaa hicho.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wakizungumza baada ya hali kutulia, Badi na Isango, walieleza kuwa kilichofanywa na jeshi la Polisi ni kuminya uhuru wa utendaji kazi wa waandishi katika kuuhabarisha umma wa watanzania juu ya mambo yaliyokuwa yakitokea.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Ni jana tu wameambiwa namna ya kutoa ushirikiano na vyombo vya habari, lakini leo wanatupiga na kutusakizia mbwa hii si haki na viongozi wetu wanapaswa waangalie mara mbili mbili namna ya kushirikiana na jeshi hili,” alisema Badi.</span></div>
<div style="background: rgb(255, 255, 255); line-height: 22px; margin-bottom: 20px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Jeshi la Polisi limekuwa na kawaida ya kuwanyanyasa, kuwapiga na hata kuwaua waandishi wa habari pale wanapotekeleza wajibu wao wa kukusanya habari.</span></div>
<br />
<div class="clear" style="background: rgb(255, 255, 255); clear: both; height: 0px; line-height: 22px; margin: 0px; outline: 0px; overflow: hidden; padding: 0px; vertical-align: baseline; visibility: hidden; width: 0px;">
</div>
<br />
<div style="-webkit-text-stroke-width: 0px; background: rgb(255, 255, 255); font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; letter-spacing: normal; line-height: 22px; margin: 0px 0px 20px; orphans: auto; outline: 0px; padding: 0px; text-align: start; text-indent: 0px; text-transform: none; vertical-align: baseline; white-space: normal; widows: auto; word-spacing: 0px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tukio linalokumbukwa zaidi la ukatili wa askari wa jeshi hilo kwa waandishi wa habari ni mauaji ya Mwandishi wa kituo cha Televisheni ya Chanel ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi, mauaji yaliyotokea Septemba 2 mwaka juzi katika Kijiji cha Nyololo Mufindi mkoani Iringa wakati mwandishi huyo akiwajibika kukusanya habari.</span></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Makao makuu ya Polisi- Dar es Salaam, Tanzania-6.8 39.283332999999971-7.304568 38.637885999999973 -6.295432 39.928779999999968tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-48952811559773088802014-09-04T16:12:00.000+03:002014-09-04T16:12:18.883+03:00Mafunzo ya JKT yana tija kwa taifa au yanapoteza muda?<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvyf7TV00CPxBAFNEsbJYXCj58bqjK8k9VwNXtNYcuF5zqR0LUSw9krBuba-lWZNJucz0MyJZrVL3z0OFUYozZcDxEfaCD3YC6r6El8s37FnTB-LcXFGZVwzxVofBn8v1KOqiKGV3ExCc/s1600/JWTZ.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvyf7TV00CPxBAFNEsbJYXCj58bqjK8k9VwNXtNYcuF5zqR0LUSw9krBuba-lWZNJucz0MyJZrVL3z0OFUYozZcDxEfaCD3YC6r6El8s37FnTB-LcXFGZVwzxVofBn8v1KOqiKGV3ExCc/s1600/JWTZ.jpg" height="640" width="480" /></a></div>
<br />
<br />Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Monduli, Tanzania-3.296111 36.450000000000045-3.3278155 36.409659500000046 -3.2644064999999998 36.490340500000045tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-36073171923588715592014-09-04T13:19:00.001+03:002014-09-04T13:23:16.782+03:00Tatizo la Unene Uliopitiliza (Obesity) na kinga yake!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhWR5f4NdytUjLUrlX1U6FNaXQHGW3heJlYL6Xv3oxfvUdSNcaUGKYo74onyRKMMz339LWtgKpO-fPtjlEbhr_3Y5v7g0RZ9ySbVZJGZtwzlBzyLyItuh55xOZxylIoubuA5vch2QdoZWs/s1600/Obesity.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhWR5f4NdytUjLUrlX1U6FNaXQHGW3heJlYL6Xv3oxfvUdSNcaUGKYo74onyRKMMz339LWtgKpO-fPtjlEbhr_3Y5v7g0RZ9ySbVZJGZtwzlBzyLyItuh55xOZxylIoubuA5vch2QdoZWs/s1600/Obesity.jpg" height="282" width="400" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 1.5em;">Tatizo hili la unene uliopitiliza kuliko inavyohitajika kiafya huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini. Njia rahisi na inayokubalika ya kuweza kugundua kama mtu ni mnene kupita kiasi (obese) inafahamika kama kipimo cha Body Mass Index (BMI). Vipimo hivi vya BMI ndio vinaweza kukujulisha kama unene ulionao unastahili kulingana na umri, urefu na uzito wako. </span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 1.5em;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: left;">
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 1.5em;">Vipimo hivi ni kama ifuatavyo:</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: left;">
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 1.5em;"><br /></span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 1.5em;">Jinsi ya kupima BMI yako</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kanuni ya BMI hutumia uzito wa mtu pamoja na urefu wake. Uzito wa mtu hupimwa katika kilograms (kg) na urefu wake katika mita (m) au sentimita (cm). Ikumbukwe pia kuwa mita moja ni sawa na sentimita 100 na mita² = mita x mita.</span></div>
<table _mce_style="height: 104px;" border="1" cellpadding="0" cellspacing="0" style="background-color: white; height: 104px; width: 387px;"><tbody>
<tr _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;"><td _mce_style="text-align: center;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Category</span></td><td _mce_style="text-align: center;" width="306"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">BMI range – kg/m<sup>2</sup></span></td></tr>
<tr><td _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Emaciation</span></td><td _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;" width="306"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">less than 14.9</span></td></tr>
<tr _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;"><td><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Underweight</span></td><td width="306"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">from 15 to 18.4</span></td></tr>
<tr><td _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Normal</span></td><td _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;" width="306"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">from 18.5 to 22.9</span></td></tr>
<tr><td _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Overweight</span></td><td _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;" width="306"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">from 23 to 27.5</span></td></tr>
<tr _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;"><td><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Obese</span></td><td _mce_style="text-align: center;" width="306"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">from 27.6 to 40</span></td></tr>
<tr><td _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Morbidly Obese</span></td><td _mce_style="text-align: center;" style="text-align: center;" width="306"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">greater than 40</span></td></tr>
</tbody></table>
<br />
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Vyakula vya mafuta - Ulaji wa vyakula venye mafuta mengi au calories nyingi.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kutofanya mazoezi - Wale wasiofanya mazoezi mara kwa mara huwa wanene tofauti na wale wanaofanya mazoezi.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kurithi viashiria vya asili (genes) - Viashiria hivi vinaweza kuwa moja ya vichocheo vya kuongeza uzito kwani ndivyo huamua wapi mafuta huhifadhiwa mwilini na kwa kiwango gani. Lakini haimanishi kuwa mtu akiwa navyo basi ndio atakumbwa na tatizo hili.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Umri - Watu wengi huongezeka uzito au hunenepa kadri umri unavyoongezeka kwa sababu wanakuwa hawajishughulishi sana (less active) na huwa wanapungua maumbile ya miili yao (muscles mass)</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Matatizo ya kisaikolojia - Wakati mwengine watu wenye matatizo ya kisaikolojia au msongo wa mawazo (stress) huwa na tabia ya kula sana, matokeo yake ni kunenepa.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Dawa - Baadhi ya dawa zenye madhara ya kuongeza unene ni kama corticosteroids, blood pressure medications, tricyclic medications na kadhalika.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Matatizo ya afya - Baadhi ya magonjwa yanachangia kuongezeka kwa uzito au kenenepa kama cushings syndrome, hypothyroidism, osteoarthritis na kadhalika</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kukua kwa uchumi wa nchi - Wananchi wengi wanaoishi kwenye nchi zilizoendelea au wenye kipato kikubwa ndio wanaopata tatizo hili kutokana na kuishi mfumo wa maisha ya kivivu na hali ya kutokufanya mazoezi (<em>sedentary lifestyle</em>).</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Historia ya kuongezeka uzito uliopitiliza kwenye familia nayo yaweza kuhatarisha mtu kupata tatizo hili. Aidha, si jambo la kushangaza kuona karibu familia nzima au wengi wa wanafamilia kuwa wanene kupitiliza.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kutojishughulisha na chochote (inactive).</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kupenda kula sana kuliko kawaida (<em>overeating</em>).</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kula vyakula vya mafuta mengi</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kutumia dawa zenye madhara ya kuongeza uzito uliopitiliza.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kuwa na ugonjwa wa vichocheo mwilini (<em>hormonal disorders</em>) kama <em>cushing</em><em>syndrome, hypothyroidism</em>.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kuwa na msongo wa mawazo au kuathirika kisaikolojia.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kisukari</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Shinikizo la damu (hypertension)</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kiharusi (<em>Stroke</em>)</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Magonjwa ya moyo</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tatizo la kutopumua vizuri wakati mtu yupo usingizini (<em>Sleep apnea</em>)</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Vijiwe katika mfuko wa nyongo (Gallstones)</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kiwango cha juu cha lijamu kwenye damu<em></em><em>(cholesterol ikiwemo triglycerides</em>)</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Ugonjwa wa mifupa kama yabisi<em> (osteoarthritis)</em>.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Saratani ya matiti</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Saratani ya tezi dume (<em>prostate cancer</em>)</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Saratani ya utumbo mpana pamoja na maeneo ya haja kubwa <em>(Colorectal cancer)</em></span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Matatizo ya mzunguko na mishipa ya damu kama vile kuvimba kwa vena za miguuni<em>(varicose veins)</em></span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mabadiliko ya tabia - Hii inahusisha muhusika kupunguza kiwango cha chakula anachokula lakini kiwe chenye virutubisho vyote muhimu vya afya na kuongeza kiwango cha ufanyaji mazoezi.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mazoezi - Mazoezi husaidia kupunguza uzito hasa kipindi cha miezi sita ya mwanzo na hutunza uzito uliokusudiwa kwa muda mrefu. Pia hupunguza mafuta ya mwilini, huongeza ufanisi wa moyo, hupunguza tatizo la shinikizo la damu (<em>hypertension</em>), na kuweka sukari katika kiwango kinachohitajika mwilini.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Dawa - Zipo dawa nyingi za kupunguza uzito lakini ikumbukwe ya kwamba hakuna tiba ya tatizo hili na dawa hizi zina madhara mengi kama kuongeza shinikizo la damu (hypertension), matatizo ya moyo, kuharisha,msongo wa mawazo (depression) na mengineyo.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Chakula - Msingi wa kupunguza uzito au unene ni kujua ni kiwango gani cha <em>calories</em> mwili wako unahitaji kwa siku ili uwe unakula chakula ambacho hakitazidisha au kupunguza kiwango cha <em>calories</em> unazohitaji kwa siku. Mlo mzuri ni ule ulio na matunda kwa wingi, mboga za majani, nafaka ambazo hazijakobolewa, mafuta kidogo (less saturated fat). Vyakula vengine ni kama mayai, nyama isiokuwa ya mafuta (lean meat), samaki, kuku na vingineyo.</span></li>
</ul>
<ul style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tiba ya upasuaji - Kuna aina nyingi za upasuaji ambao unasaidia kupunguza uzito aina hizi ni kama gastric banding, gastric bypass (Roux-en-Y-procedure), liposuction. Kabla ya kufanyiwa upasuaji, muhusika atahitaji kupimwa kisaikolojia (psychological testing) na kupewa ushauri nasaha kwani tiba hii pia ina madhara yake.</span></li>
</ul>
<ul _mce_style="text-align: left;" style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kisukari cha mimba (<em>Gestatitional diabetes</em>) - kisukari hiki kinatokea wakati wa ujauzito na hupotea baada ya kujifungua mtoto.</span></li>
</ul>
<ul _mce_style="text-align: left;" style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Shinikizo la damu (<em>hypertension</em>)</span></li>
</ul>
<ul _mce_style="text-align: left;" style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Shinikizo la damu wakati wa ujauzito pamoja na kifafa cha mimba (pre-eclampsia & eclampsia)</span></li>
</ul>
<ul _mce_style="text-align: left;" style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kuzaa kwa njia ya upasuaji (<em>caesarean section</em>)</span></li>
</ul>
<ul _mce_style="text-align: left;" style="background-color: white; list-style: none; margin: 0px; padding: 0px;">
<li style="line-height: 1.2em; list-style-image: url(http://www.rssing.com/inc/img/icon_arrow.gif); list-style-position: outside; margin-bottom: 10px; margin-left: 40px; margin-top: 10px; text-indent: 0em;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tatizo la kiumbe kutopata hewa vizuri wakati wa ujauzito (<em>fetal distress</em>)</span></li>
</ul>
<br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="color: #444444;"><br /></span>
</span><br />
<div>
<div style="background-color: white; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">BMI (<strong>kg/m<sup>2</sup></strong>) = Uzito katika kilograms/Urefu katika meters<strong>². </strong>Maana yake ni kwamba ili kuweza kupata BMI itakayokuwezesha kujifahamu kama u mnene ama la, chukua uzito wako gawa kwa kipeo cha pili cha urefu wako.</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tatizo la unene uliopitiliza husababishwa na nini ?</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kuna mambo kadhaa yanayoweza kusababisha unene uliopitiliza. Mambo hayo ni pamoja na</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Vihatarishi vya tatizo la unene wa kupitiliza</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Aidha yapo mambo kadhaa ambayo yanaweza kumuhatarisha mtu kupata unene wa kupitiliza. Mambo haya ni pamoja na</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Magonjwa yanaoweza kuambatana na tatizo la unene uliopitiliza</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tiba ya kuongezeka unene kupita kiasi</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tiba ya tatizo hili ni mhusika kujitambua ya kwamba ana tatizo na kuwa tayari kupunguza uzito. Mabadiliko ya tabia ya mhusika ni muhimu sana, mabadiliko haya yawe ndio mfumo wa maisha yake ya kila siku.</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kupungua uzito na kujilinda au kutunza uzito ulionao baada ya kupunguza uzito ni jambo la msingi sana na inahusisha mazoezi, chakula na mabadiliko ya tabia ya mtu.</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kama hujazoea kufanya mazoezi ni vizuri uanze taratibu na ujiwekee lengo kwa kufanya mazoezi kwa muda wa nusu saa kila siku, siku tano kwa wiki,(dakika 30 kila siku kwa siku tano kwa wiki). Mazoezi mazuri ni kama kuogelea, kuendesha baiskeli, kutembea, kunyanyua vitu vizito (visiwe vyenye uzito mkubwa), mazoezi ya viungo na kadhalika. Kama mtu ni mnene sana basi ni bora kuzungumza na daktari wako kabla ya kuanza mazoezi mapya. Baada ya kuanza mazoezi kwa mara ya kwanza, mwili utakuwa na maumivu, hii ni kawaida lakini kama mtu atapata maumivu zaidi ya masaa 2 baada ya kufanya mazoezi ni vizuri kumuona daktari.</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 1.5em; margin-bottom: 1.5em; margin-right: 2em; margin-top: 0em; padding-left: 30px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wanawake ambao wana uzito wa kupitiliza (<em>obese women</em>) wakiwa wajawazito wako kwenye hatari ya kupata madhara yafuatayo;</span></div>
<div class="blogger-post-footer" style="background-color: white; font-family: Verdana, Geneva, sans-serif;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img alt="" atitle="Unene Uliopitiliza (Obesity)" height="1" indx="5900144" rank="7" src="https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1893431027288836146-1062855416100705857?l=www.swahilinet.info" style="max-height: 100%; max-width: 100%;" /></span></div>
</div>
<div>
<br /></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Dar es Salaam, Tanzania-6.8 39.283332999999971-7.304568 38.637885999999973 -6.295432 39.928779999999968tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-66430028970341054222014-09-04T12:51:00.000+03:002014-09-04T12:51:21.520+03:00Kula Machungwa na Zabibu kunapunguza uwezekano wa kupata kiharusi (Stroke)<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgB4Smr4g_5mUKp0Fdr4B2Om1IUTH33QHp9YEGSZIBcx1kyj6pGhZBFDsaqHo9K_9D8exb9GnR26dgo-Fa3tk5wrVEf4o7jR0ofvja1pFjuEWNGcvDvqbowLwRO_5haTt4F7_ZF1MhT04k/s1600/Citrus+Fruit.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgB4Smr4g_5mUKp0Fdr4B2Om1IUTH33QHp9YEGSZIBcx1kyj6pGhZBFDsaqHo9K_9D8exb9GnR26dgo-Fa3tk5wrVEf4o7jR0ofvja1pFjuEWNGcvDvqbowLwRO_5haTt4F7_ZF1MhT04k/s1600/Citrus+Fruit.jpg" height="456" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; font-style: italic; font-weight: bold; text-align: justify;">Utafiti huo uliangalia faida za matunda chachu </span><em style="background-color: white; font-weight: bold; text-align: justify;">(Citrus Fruit)</em><span style="background-color: white; font-style: italic; font-weight: bold; text-align: justify;">pekee kwa mara ya kwanza tofauti na tafiti nyingi ambazo tumezizoea zinazoangalia umuhimu wa matunda na mboga za majani kwa afya kiujumla.</span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<br />
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Utafiti huu umehusisha maelfu ya wanawake wanaoshiriki katika tafiti ya manesi Nurse’s Health Study lakini wataalamu wanaamini faida hizo za machungwa na zabibu pia zinapatikana kwa wanaume.</span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Timu ya watafiti katika chuo cha Norwich Medical School katika Chuo Kikuu cha East Anglia wamechunguza umuhimu wa kemikali aina ya<em>flavonoids</em> ambayo ni jamii ya <em>antioxidant</em> (kemikali zinauwa kemikali hatari za kwenye mwili) inayopatikana katika matunda, mboga za majani, chocolate nyeusi na wine nyekundu.</span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Utafiti huu ulifuatilia takwimu za miaka 14 za wanawake 69,222 ambao walikuwa wakishirki katika tafiti kwa kuandika kiwango chao cha kula matunda na mboga za majani kwa kila kipindi cha miaka 4. Timu hiyo ya utafiti iliangalia uhusiano wa aina sita ya<em>flavonoids - flavanones, anthocyanins, flavan-3-ols, flavonoid polymers, flavonols</em> na<em>flavones</em> na hatari ya aina mbalimbali za kiharusi kama <em>Ischaemic, Hemorrhagic</em> na <em>Total Stroke</em>. Ilionekna wanawake waliokula kiwango kikubwa cha <em>flavanones</em> kwenye matunda chachu walikuwa na asilimia 19 ya uwezekano wa kupunguza kiharusi kulinganisha na wanawake ambao walikula kiwango kidogo cha matunda hayo.</span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kiwango kikubwa cha <em>flavanones</em> kilikuwa 45mg kwa siku kulinganisha na kiwango kidogo cha 25mg kwa siku. Utafiti huu ulichapishwa katika jarida la <em>Medical Journal Stroke</em>umesema <em>flavanones</em> hupatikana kwa asilimia 82 kwenye machungwa na juisi ya machungwa na hupatikana kwa asilimia 14 kwenye zabibu na juisi ya zabibu. Hata hivyo watafiti hao wamesema kwa wale wenye kusudio la kuongeza kiwango kikubwa cha flavanones itawalazimu kula tunda la chungwa kwa wingi na si juisi za machungwa zinazotengenezwa kiwandani kutokana na kiwango kikubwa cha sukari kinachopatikana katika juisi hizo za viwandani.</span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Professa Aedin Cassidy wa masuala ya lishe bora <em>(nutrition)</em> na ambaye alikuwa kiongozi wa utafiti huo amesema “kula kwa wingi kwa matunda, mboga za majani, na hasa Vitamin C uhusishwa na kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi”. <em>Flavanones</em> hutoa kinga dhidhi ya kiharusi kutokana na kuongeza ufanisi wa mishipa ya damu kwenye ubongo na kutokana na kuwa na uwezo wa kuzuia maambukizi mwilini (A<em>nti-inflammatory effect</em>).</span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Utafiti uliofanyika hapo awali ulionyesha ya kwamba ulaji wa matunda chachu na juisi yake na si matunda ya aina nyingine yoyote hupunguza uwezekano wa kupata kiharusi aina ya<em>Ischaemic Stroke</em> na kuvuja damu kwenye ubongo<em> (Intracerebral Haemorrhage).</em></span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Utafiti mwingine uliofanyika kipindi cha nyuma ulionyesha hakuna uhusiano wowote wa matunda ya njano na machungwa katika kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi lakini ulionyesha ya kwamba kuna uhusiano wa zabibu na mapeasi wa kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi.</span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Katika utafiti mwingine uliofanyika nchini Sweden umeonyesha ya kwamba wanawake ambao walikula kiwango kikubwa cha <em>antioxidant</em> karibia asilimia 50 kutoka kwenye matunda na mboga za majani, ni wachache tu kati yao waliopata kiharusi ikilinganishwa na wanawake ambao walikuwa na kiwango kidogo cha <em>antioxidant</em>.</span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Matokeo ya utafiti huu yasiwafanye watu kuacha kula matunda ya aina nyingine pamoja na mboga za majani kwani nayo yana faida kubwa katika mwili wa binadamu.</span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi inawezekana kama mtu atakula lishe bora iliyo na virutubisho vyote muhimu, kula matunda na mboga za majani kwa wingi, kufanya mazoezi mara kwa mara, kupunguza kiwango cha ulaji chumvi (kwani watu wenye asili ya Kiafrika wana kiashiria cha asili kinachojulikana kama <em>salt retention gene</em> ambacho hufanya kiwango kidogo cha matumizi ya chumvi mwilini kuonekana kama kiwango kikubwa na hivyo kuongeza hatari ya kupata kiharusi), kupunguza uzito (kuwa kwenye uzito unaotakikana kiafya kulingana na umri na urefu wako), kupunguza kiwango cha matumizi ya mafuta katika chakula, kulala masaa ya kutosha na kupunguza msongo wa mawazo.</span></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-63351697768982052482014-08-19T13:26:00.001+03:002014-08-19T13:35:36.558+03:00Tetesi: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya/jimbo la TMK kukabidhiwa kadi ya CCM kwa mbwembwe!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8Dm70u1iC_OfJ5FwGSPXqoi6U1RLIgSba7BW-yosMMpmzJ79inMv4tjplMj4rjXusAcWOR_UwPtMO-vmepAKtUh960dITGWK3Pf47lHMCJ3QR-5cYQ8hE2hCOkiQbrJdFHysz-5U0weI/s1600/Temeke+Chdm.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8Dm70u1iC_OfJ5FwGSPXqoi6U1RLIgSba7BW-yosMMpmzJ79inMv4tjplMj4rjXusAcWOR_UwPtMO-vmepAKtUh960dITGWK3Pf47lHMCJ3QR-5cYQ8hE2hCOkiQbrJdFHysz-5U0weI/s1600/Temeke+Chdm.JPG" height="480" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="text-align: start;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Bwn. Patrick Yohana Joseph</span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="text-align: start;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span></div>
<div style="text-align: start;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="text-align: center;">Tetesi ambazo Blog ya Maisha Times imezipata muda mfupi uliopita zinarepoti kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA </span>wilaya/jimbo Temeke, Mwenyekiti BAVICHA mkoa wa Temeke, Mjumbe wa Baraza Kuu la Chadema Taifa, Mjumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa ambaye alivuliwa na kufukuzwa uanachama wa chama hicho kutokana na usaliti na hujuma Bwn. Patrick Yohana Joseph anatarajia kujiunga na Chama Cha Mapinduzi </span><span style="color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">hapo mnamo tarehe 28/08/2014</span><span style="color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;"> </span><span style="color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">ambapo atakabidhiwa rasmi Kadi ya CCM na Kiongozi Mkubwa kitaifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mbwembwe za kila namna kama ilivyokuwa kwa Mtela Mwampamba, Juliana Shonza na Madiwani wa Shinyanga ambao walifukuzwa CHADEMA na kuonekana ni almasi ndani ya CCM.</span></div>
<div style="text-align: start;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: start;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tetesi zaidi zinadai kwamba mbwembwe na kila ambacho kitafanyika katika siku hiyo lengo kubwa likiwa ni kutumia kiasi kikubwa cha fedha kuwahamasisha wanachama wengi wa CHADEMA kujiunga na CCM ili kukidhoofisha chama hicho pendwa na wananchi walio wengi ambacho kwa miaka kadhaa kimekuwa kikikipa changamoto kubwa chama tawala CCM katika medani ya siasa!</span></div>
<div style="text-align: start;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Temeke-Dar es Salaam, Tanzania-6.8 39.283332999999971-7.304568 38.637885999999973 -6.295432 39.928779999999968tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-62987863671102274712014-08-08T16:29:00.000+03:002014-08-09T16:33:05.855+03:00Hii ndio Video ya mpango wa usaliti na hujuma kwa CHADEMA!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7TUdolvgEewCFQFF_tl8lOBfiFxqLtE_0VCAv2U5blpTA-P_-iVqKUuAQa_CvohV6Se5ge1FY-CpUZlUGUQ9IsnyrfHN-MF2yLn5XUsvxP82DbiSICbk-fhihejB9eXX8gdRnFQ5xYSI/s1600/chopa.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7TUdolvgEewCFQFF_tl8lOBfiFxqLtE_0VCAv2U5blpTA-P_-iVqKUuAQa_CvohV6Se5ge1FY-CpUZlUGUQ9IsnyrfHN-MF2yLn5XUsvxP82DbiSICbk-fhihejB9eXX8gdRnFQ5xYSI/s1600/chopa.JPG" height="480" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> Video ya mpango wa Usaliti na Hujuma kwa CHADEMA uliokuwa unapangwa na viongozi wa waandamizi wa CCM na ACT Tanzania umefichuliwa. </span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Hakuna siri tena.</span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Kuangalia Video hiyo Bofya link hii</span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> <a href="https://www.youtube.com/watch?v=SJxkqcBzrUg&list=UUs0TcFkgqs2OYd6x5E68nhg">https://www.youtube.com/watch?v=SJxkqcBzrUg&list=UUs0TcFkgqs2OYd6x5E68nhg</a></span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Shinyanga, Tanzania-3.661944 33.423055999999974-3.7253285000000003 33.342374999999976 -3.5985595 33.503736999999973tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-54749254342652601552014-08-08T15:46:00.000+03:002014-08-09T15:53:20.044+03:00Waziri wa atajwa njama za kumuua Dk. Slaa na Mnyika!<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8bn4ndp2wA_wGu5ul5JpiWO-TbMrfVi9rXXQVKQyBYDfHPQr52PAXrrBWqGBwa-Tupw9hmrUM9U6NRQBOBZtwrR9UiZ-qLvOGFOhLLei8o5e5Q3ljZ052Qef_YQKr4-Y0VEub7C4ISwo/s1600/masele.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8bn4ndp2wA_wGu5ul5JpiWO-TbMrfVi9rXXQVKQyBYDfHPQr52PAXrrBWqGBwa-Tupw9hmrUM9U6NRQBOBZtwrR9UiZ-qLvOGFOhLLei8o5e5Q3ljZ052Qef_YQKr4-Y0VEub7C4ISwo/s1600/masele.jpg" height="366" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Naibu Waziri wa
Nishati na Madini Mhe. Stephen Masele.</span></span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Hali ya kisiasa nchini imezidi kuwa tete baada ya Naibu Waziri wa
Nishati na Madini, Stephen Masele, kuhusishwa katika njama za kutaka
kumuua Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk.
Willibrod Slaa na Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa chama hicho,
John Mnyika.</span></span></span><br />
<br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Mbali na kutajwa katika njama hizo ambazo Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga
Mjini, Anarose Nyamubi anadaiwa kukataa zisitekelezwe katika wialaya
yake, Masele pia anahusishwa na kupanga kiasi cha fedha kilichotakiwa
kutolewa kwa madiwani wawili wa CHADEMA kama wangeweza kufanikisha
mkakati huo.</span></span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Tuhuma hizo nzito zilitolewa jana jijini Dar es Salaam na diwani wa
Kata ya Ngokelo, Sebastian Peter kutoka mkoani Shinyanga wakati
akizungumza na waandishi wa habari katika Makao Makuu ya CHADEMA.</span></span></span><br />
<br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Hata hivyo, wawili hao Masele na Nyamubi hawakuweza kupatikana kujibu
tuhuma hizo, na alipoulizwa msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Advera
Senso kama waliwahi kupokea malalamiko hayo, alisema hawana taarifa
yoyote na kwamba hao waliotoa taarifa hizo wanapaswa kuziwasilisha
polisi ili zifanyiwe kazi.</span></span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Peter maarufu kama Obama na diwani mwenzake wa kata ya Masekelo,
Zakaria Mfukwa, alisema kuwa awali walihamia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
kwa ahadi ya kuboreshewa maisha ukiwa ni mkakati wa Waziri Masele.</span></span></span><br />
<br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Alifafanua kuwa mkakati huo wa kuwauwa viongozi hao wa CHADEMA
ulikuwa utekelezwe mapema Februari mwaka huu, wakati viongozi hao
walipofika mkoani Shinyanga kwa ajili ya kukusanya maoni ya wanancchi
juu ya muundo wa serikali.</span></span></span><br />
<br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Alisema mara baada ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Zitto
Kabwe kusimamishwa uongozi wa chama hicho, walifuatwa na Habibu Mchange
na kuelezwa kuwa kuna mpango unaoweza kuwaondoa katika lindi la
umasikini ikiwa wataweza kuufanikisha.</span></span></span><br />
<br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">“Baada ya maongezi ya aina mbali mbali na Mchange tulishindwa kupata
muafaka lakini tuliendelea kuwasiliana na aliporudi Shinyanga akatueleza
kuwa kuna mpango mzuri wa fedha na kwamba utasimamiwa na Waziri Masele
na kwamba tutapata sh. milioni 180 kila mmoja,”alisema.</span></span></span><br />
<br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Aliongeza kuwa alipigiwa simu na Masele na kisha kuelekezwa kazi ya
kufanya kuwa ni kutoa taarifa ya helikopta iliyombeba Dk. Slaa na Mnyika
ingetua eneo gani itakapofika Shinyanga Mjini na kwamba ni nani
wengine ambao wangekuwa katika msafara huo, huku wakielezwa kuwa jukumu
lao lingeishia katika kutoa taarifa na mikakati ya ulipuaji ingesimamiwa
na Masele.</span></span></span><br />
<br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Alisema katika mkakati huo, mkuu wa Wilaya ya Shinyanga mjini,
Anarose Nyamubi ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya
wilaya alikataa mpango huo kutekelezwa katika wilaya yake hali
iliyowafanya wao wajiulize kama wana sababu ya kuendelea na jambo hilo.</span></span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">“Nilipofikiria Taifa na nikafikiria namna msiba wa Dk. Slaa na Mnyika
utakavyopokewa nikaona siwezi kutekeleza jambo hilo nilichoweza
kuwashauri ni kwamba waandae mabango ya kumzomea Dk. Slaa,”alisema
Peter.</span></span></span><br />
<br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Akizungumzia mikakati hiyo, Mwanasheria wa CHADEMA, Tundu Lissu,
alisema siku zote wamekuwa wakiueleza umma juu ya njama zinazofanywa na
CCM kupitia kwa watu waliofukuzwa ndani ya CHADEMA kama Habibu Mchange
aliyetajwa kuwa nyuma ya uratibu wa mkakati huo kwa kushirikiana na CCM.</span></span></span><br />
<br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span></span></span><span style="color: #444444;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Alisema kitendo cha kutaka kulipua helikopta makosa yake yanaelekezwa
katika sheria ya kukabiliana na ugaidi na kwamba jeshi la polisi
linapaswa kuchukua hatua zinazostahili.</span></span></span>Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Shinyanga, Tanzania-3.661944 33.423055999999974-3.7253285000000003 33.342374999999976 -3.5985595 33.503736999999973tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-63887047350889014812014-07-29T15:40:00.001+03:002014-07-29T15:40:56.889+03:00Blog yako pendwa inakutakia Eid Mubarak<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiGuT77TDxH7OtledRYrtaMyk1Q8U1NSJXVWcYc3vp07YrX6vMvNxw4DMgel0YC3zP8rfDIoxnLDG9jTfkO2vdVow2fmNhhD_lAJ5gpdikDdJ6EclFjBiCcp86vEvOWvMeA-42XV98Ldlc/s1600/bodaboda.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiGuT77TDxH7OtledRYrtaMyk1Q8U1NSJXVWcYc3vp07YrX6vMvNxw4DMgel0YC3zP8rfDIoxnLDG9jTfkO2vdVow2fmNhhD_lAJ5gpdikDdJ6EclFjBiCcp86vEvOWvMeA-42XV98Ldlc/s1600/bodaboda.jpg" height="640" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-34925020004888022132014-07-26T14:58:00.001+03:002014-07-26T14:58:43.366+03:00Mke wa Mbunge Dr Cyril Chami adaiwa kumuua "Housegirl"<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgLBzsKZkh6ca1B3T4fFo10tw5oXVtBQFbD9gEweWpFSpYQXT5iDL6EKZKZ5igqbFPmRAiZzmLA94qYAkaGMyb4_Zx4lvxmnge9BXTr3o3QMz7NurxjTKL28x5XV8GfpTZ7N6r8SfGTeE4/s1600/chami.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgLBzsKZkh6ca1B3T4fFo10tw5oXVtBQFbD9gEweWpFSpYQXT5iDL6EKZKZ5igqbFPmRAiZzmLA94qYAkaGMyb4_Zx4lvxmnge9BXTr3o3QMz7NurxjTKL28x5XV8GfpTZ7N6r8SfGTeE4/s1600/chami.JPG" height="459" width="640" /></a></div>
<div style="background-color: white; color: #141823; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 19.31999969482422px; margin-bottom: 6px; text-align: center;">
<br /></div>
<div style="background-color: white; line-height: 19.31999969482422px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mfanyakazi wa ndani wa mbunge wa Jimbo la Moshi vijijini Cyril Chami (CCM) aitwaye Mariam Said (16) amefariki dunia mapema alfajiri ya leo ikiaminika kwabmba kifo chake kimesababishwa na kipigo toka kwa mke wa Mbunge huyo.</span></div>
<div style="background-color: white; line-height: 19.31999969482422px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Sababu kubwa ikielezwa kuwa binti huyo ambaye ni muislamu alikataa kwenda kuhudhuria misa kanisani siku ya jumapili na amekua na tabia ya kupinga kwenda kanisani kila mara tangu aajiriwe na mbunge huyo kwa madai <span class="text_exposed_show" style="display: inline;">kuwa ni kinyume na imani yake (Uislamu).</span></span></div>
<div class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 19.31999969482422px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><div style="margin-bottom: 6px;">
Msimamo wa binti huyo ulimpelekea kipigo kikali usiku wa siku hiyo (jumapili) ambapo inadaiwa alivunjika mbavu baada ya mke wa mbunge kumpiga na stuli ubavuni.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Majirani wa mbunge huyo wanasema licha ya binti huyo kuvunjika mbavu hakupewa matibabu yoyote badala yake alifungiwa ndani huku akiendelea kulazimishwa kufanya kazi.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mbaya zaidi mke wa Mbunge huyo alimnyang'anya simu binti huyo ili asiweze kuwasiliana na familia yake na kuwaeleza yaliyompata. Hata majirani walipomuuliza juu ya hali ya mtoto huyo aliwajibu kwa lugha ya kejeli na kuwaambia hakuna mtu anaweza kumfanya chochote, kwani serikali ya Chama Cha mapinduzi (CCM) ni yao.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Kutokana na maumivu makali pamoja na kukosa matibabu hatimaye binti huyo amefariki dunia leo asubuhi.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Source: Radio Moshi Fm</div>
</span></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Moshi, Tanzania-3.334883 37.340380999999979-3.4616955000000003 37.179019499999981 -3.2080705 37.501742499999978tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-68792221473842008342014-07-26T10:06:00.000+03:002014-07-26T11:05:07.681+03:00Matokeo ya usaili Uhamiaji: 90% ni Watoto na Ndugu wa wafanyakazi wa Uhamiaji!<div style="background-color: white; line-height: 19.31999969482422px; margin-bottom: 6px;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgU2WkRtciK6A0vO57lUxrim9AceksGCwRYEr7NoGMf_cgF-MMqEWm004txdd_8wmF1xep-EBYCgi7844SS9ttH8-6-zjLhePqLoCPY_9u1W8DUKJmYqs2kLBsPglOgjd_DcCJ9P_ZetPk/s1600/uhamiaji3.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgU2WkRtciK6A0vO57lUxrim9AceksGCwRYEr7NoGMf_cgF-MMqEWm004txdd_8wmF1xep-EBYCgi7844SS9ttH8-6-zjLhePqLoCPY_9u1W8DUKJmYqs2kLBsPglOgjd_DcCJ9P_ZetPk/s1600/uhamiaji3.JPG" height="426" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBSp4RXotF6BkyAJ55Nv65xFm2X5h-yZ21GrHXRyRi19w8R1mJ7bAda2mDnBfzmKEEeTbJeQUnZywOZR8y6OLXcfN4k89NsGP5r7YZRi81O-Lx1amAvsKJJY0BjR9TYHXGK-0_71i69Ws/s1600/uhamiaji2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBSp4RXotF6BkyAJ55Nv65xFm2X5h-yZ21GrHXRyRi19w8R1mJ7bAda2mDnBfzmKEEeTbJeQUnZywOZR8y6OLXcfN4k89NsGP5r7YZRi81O-Lx1amAvsKJJY0BjR9TYHXGK-0_71i69Ws/s1600/uhamiaji2.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4krfzfQiUzgFh_f3ZQEn7JTcRnIKW02axRpEXVmeFNhltuyAh1ccwBdaJWsaO3TaXvJnrHn0NdN2NnId8jrG8AiVgvHaTR_SlOOrlem2bWJR-Te9zidLRhuzzYiuqhSNw8tmy-cLt7Tk/s1600/uhamiaji.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4krfzfQiUzgFh_f3ZQEn7JTcRnIKW02axRpEXVmeFNhltuyAh1ccwBdaJWsaO3TaXvJnrHn0NdN2NnId8jrG8AiVgvHaTR_SlOOrlem2bWJR-Te9zidLRhuzzYiuqhSNw8tmy-cLt7Tk/s1600/uhamiaji.jpg" height="300" width="400" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Matokeo ya Usaili wa nafasi za kazi Uhamiaji yaliyotolewa katika magazeti mbalimbali mwezi Julai, 2014 yameonesha kuwa katika dara hiyo watanzania wengine mbali ya watoto au ndugu wa wafanyakazi wa idara hiyo hawawezi kupata ajira ndani ya idara hiyo ya Serikali kirahisi na hiyo inatokana na ukweli kwamba majina ya wengi walioitwa kazini ni watoto au ndugu wa wafanyakazi wa idara hiyo kama jinsi majina yanavyoonekana hapa chini:</span><br />
<br /></div>
<div style="background-color: white; line-height: 19.31999969482422px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">1. Abdulhaq Amin Mandemla – Mtoto wa afisa Uhamiaji Amin Mandemla<br />2. Alphonce Kishe – Mtoto wa Afisa Uhamiaji Aleluya Kishe<br />3. Asha Burhani I<span class="text_exposed_show" style="display: inline;">dd – Ndugu ya Afisa Uhamiaji Tatu Burhani Idd<br />4. Beatrice Temba – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Joseph Kasike<br />5. Geofrey Justine Mhagama – Ndugu ya Afisa Uhamiaji Rose Mhagama<br />6. Iginga Daniel Mgendi – Mtoto wa Afisa Uhamiaji Daniel Mgendi<br />7. Issack Michael Makwinya – mtoto wa aliyekuwa Afisa Uhamiaji Makwinya<br />8. John Alfred Mungulu – mtoto wa Afisa Uhamiaji Alfred Mungulu<br />9. Joseph A. Milambo - mtoto wa Karani wa Uhamiaji Milambo<br />10. Michael J. Choma – mtoto wa Afisa Uhamiaji John Choma<br />11. Shimba H Zakayo – mtoto wa Afisa Uhamiaji Zakayo Mchele<br />12. Upendo E. Mgonja - mtoto wa Afisa Uhamiaji Mgonja<br />13. Vaileth A. Kidesu – mtoto wa Afisa Uhamiaji Adam Kidesu<br />14. Elizabeth Edward – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Edward Martin<br />15. Ester Mahirane – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Mahirane<br />16. Basil Lucian John – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Dismas Lucian<br />17. Frank E Kajura- Ndugu wa Afisa Uhamiaji Kajura<br />18. Jacob P. Ulungi – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Magnus Ulungi<br />19. Janeth John Milinga – Ndugu wa aliyekuwa Afisa Uhamiaji Milinga<br />20. Janeth R Lukuwi – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Eliza Lukuwi<br />21. Joseph N. Yondani – Mtoto wa Afisa Uhamiaji Mary Yondani<br />22. Leila khatib Irovya - Mtoto wa Afisa Uhamiaji Abbas Irovya<br />23. Lucian F. Mlula – ndugu wa Afisa Uhamiaji Dismas Mlula<br />24. Neema Kasian Lukosi- Ndugu wa Afisa Uhamiaji Zubeda Abbas<br />25. Pendo D. Gambadu – ndugu wa Afisa Uhamiaji Gambadu<br />26. Paschalia E. Mwenda – ndugu wa Martin Edward mwenda<br />27. Theresia Ernest Kalunde – Mtoto wa Ernest Kalunde<br />28. Veronica G Vitalis – Mtoto wa aliyekuwa Afisa Uhamiaji Vitalis Mlay<br />29. Victor G. Mlay- Mtoto wa aliyekuwa Afisa Uhamiaji Vitalis Mlay<br />30. Catherine J. Mapunda- mtoto wa Afisa Lucy Mapunda</span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span class="text_exposed_show" style="display: inline;"><br /></span></span></div>
<div class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 19.31999969482422px;">
<div style="margin-bottom: 6px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Hawa ni wachache tu kati ya wale walioajiriwa Uhamiaji ila zaidi ya asilimia tisini ni watoto na ndugu wa Maafisa Uhamiaji.<br />Nadhani ingekuwa vyema kama wahusika wasingekuwa wanatangaza nafasi hizi bali wawe wanagawiana ndani kwa ndani.</span></div>
<div style="color: #141823; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<br /></div>
</div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Dar es Salaam, Tanzania-6.8 39.283332999999971-7.304568 38.637885999999973 -6.295432 39.928779999999968tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-522594395203920772014-07-22T11:20:00.001+03:002014-07-22T11:23:10.042+03:00Inatisha: Mabaki ya miili ya binadamu yakutwa Kichakani Dar!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiNiUgTnZIT5P5j5_t3O5HjpWH9Xmaqk7RN6uerlTY-PDBb1VcKQrqGAk5kvxFc9XpQLeyP6RmFQAdNF0LXXvpzMMz0FqE2dJXcxsGXVkDtirXPfzp3i9uez_vyzNpUGmZyEwWd3V3N9bE/s1600/mauaji.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiNiUgTnZIT5P5j5_t3O5HjpWH9Xmaqk7RN6uerlTY-PDBb1VcKQrqGAk5kvxFc9XpQLeyP6RmFQAdNF0LXXvpzMMz0FqE2dJXcxsGXVkDtirXPfzp3i9uez_vyzNpUGmZyEwWd3V3N9bE/s1600/mauaji.jpg" /></a></div>
<div style="background-color: white; line-height: 15.359999656677246px; margin-bottom: 1em; margin-top: 1em; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="color: #444444;">Mabaki ya miili ya watu zaidi ya 100 imekutwa katika msitu mdogo uliopo eneo la Mpiji, k</span><span class="text_exposed_show" style="color: #444444; display: inline;">ata ya Mbweni, wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, ikiwa imetelekezwa.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="color: #444444;"><br /></span></span>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="color: #444444;">Mabaki hayo ya miili yalionekana jana katika eneo hilo majira ya jioni na kuvuta mamia ya wananchi waliokwenda kushuhudia tukio hilo.</span>Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo alisema: mabaki yalikuwa yamehifadhiwa katika mifuko ya plastiki ikiwa imefungwa juu.</span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisema mabaki hayo ambayo yamekaushwa na kuhifadhiwa katika mifuko ya ujazo wa kilo 25 ni pamoja na miguu, mikono, mbavu na mafuvu ya vichwa.</span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisema waliobaini kuwapo kwa mabaki hayo ni majirani wa eneo hilo ambao walitoa taarifa polisi.<br /></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Polisi walifika eneo la tukio na kuanza kupakia mabaki hayo katika gari lao lenye namba za usajili MS 54 UKH na kuipeleka hospitali kwa ajili ya uchunguzi zaidi.</span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kamanda wa Polisi mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, alipoulizwa alisema wakati huo alikuwa eneo la tukio na kwamba angetoa taarifa baadaye.</span></div>
<div class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 15.359999656677246px;">
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">
</span></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Dar es Salaam, Tanzania-6.8 39.283332999999971-7.304568 38.637885999999973 -6.295432 39.928779999999968tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-85412513082559411792014-07-10T09:29:00.001+03:002014-07-10T09:31:26.629+03:00Huyu ndiye waziri jangili!!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiDJJtn3qcRlQ0uIgCfv47EnZQiUgqCNhhk0QGpbx97GuvHwq8NdAQAfWk9RT4poa3k3-GP5aJjO36IF7mmwfGwf3rGTuMjxXfbhuUb_Lw4eMIyb5gzNhueM4RJkfT2LTxjJVk_z5g4Dx0/s1600/nyara.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiDJJtn3qcRlQ0uIgCfv47EnZQiUgqCNhhk0QGpbx97GuvHwq8NdAQAfWk9RT4poa3k3-GP5aJjO36IF7mmwfGwf3rGTuMjxXfbhuUb_Lw4eMIyb5gzNhueM4RJkfT2LTxjJVk_z5g4Dx0/s1600/nyara.jpg" height="478" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; font-family: Verdana, Geneva, Arial, 'Bitstream Vera Sans', 'DejaVu Sans', Meiryo, 'Hiragino Kaku Gothic Pro', 'MS PGothic', Osaka, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 21px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Apachikwa majina ya utani, buibui au pweza..</span></span><br />
<span style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span>
<span style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Ni kwa umahiri wake kuunganisha majangili..</span></span><br />
<span style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span>
<br />
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">WAZIRI aliyeukwaa wadhifa huo katika mabadiliko ya mwisho ya Baraza la Mawaziri yaliyofanyika mapema mwaka huu, akiongoza wizara nyeti, amebainika kuratibu mtandao wa ujangili wenye mizizi yake wilayani Manyoni na maeneo mengine mkoani Singida, vyanzo vya uhakika vya habari vimeeleza.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Waziri huyo (jina linahifadhiwa kwa sasa) amekuwa na mawakala maalumu katika maeneo ya karibu na mapori kunakoendeshwa ujangili na mara kwa mara, hufika wilayani Manyoni kuhakiki ufanisi wa mtandao wake huo wa ujangili, huku gazeti hili likielezwa kwamba, taarifa zake ziko ‘mikononi’ mwa vyombo muhimu vya dola nchini.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kutoka wilayani Manyoni, mkoani Singida, taarifa za ‘kiintelijensia’ zinafichua kwamba mtandao wa waziri huyo unaongozwa na mfanyabiashara (jina linahifadhiwa) wa maduka ya vifaa. Mfanyabiashara huyo ni mkazi wa kitongoji cha Mnyang’ombe mjini Manyoni na kazi zake hizo ndani ya mtandao wa ujangili huzifanya hadi mkoani Tabora.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Inadaiwa kwamba ukaribu kati ya mfanyabiashara huyo na waziri husika umejijengea nguvu zaidi kutokana na umakini wake katika kufanikisha matukio ya ujangili.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Taarifa zinabainisha kwamba mfanyabiashara huyo amekuwa na vijana maalumu ambao kazi yao ni kukusanya pembe za ndovu kutoka katika maeneo ya Itigi, Ilangali lakini katika kituo cha Manyoni, mfanyabiashara huyo hufanya kazi hiyo yeye binafsi.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Vijana hao (majina yanahifadhiwa pamoja namba zao za simu), mmoja anaishi Manyoni akimiliki namba tatu za mtandao wa aina mmoja wa simu za mkononi, mwenzake mwingine ni mwenyeji katika vijiji vinavyopakana na Pori la Akiba Rungwa, maeneo ya Kizigo. Kijana huyo wa Kizigo ndiye mnunuzi wa meno yote ya tembo yanayopatikana maeneo hayo kwa niaba ya mtandao huo.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mbali na vijana hao wawili, yupo kijana mwingine (jina linahifadhiwa kwa sasa), huyu ni mkazi wa kijiji cha Ilangali, naye akiwa anamiliki namba tatu tofauti za simu za mtandao mmoja wa mawasiliano ya simu za mkononi. Kazi kubwa ya kijana huyu katika mgawanyo wa majukumu ya kijangili ni kuhifadhi silaha sambamba na kununua meno ya tembo kwa ‘wadau’ hapo kijiji cha Ilangali na baada ya kununua meno hayo, mfanyabiashara wa Manyoni hufika kuyachukua.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<strong style="margin: 0px; padding: 0px;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mbinu za usafirishaji</span></strong></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Baada ya kazi ya ununuzi na ukusanyaji kukamilika, meno ya tembo yaliyopatikana, husafirishwa kwa njia ya reli ya kati chini ya usimamizi wa mfanyakazi mmoja wa Shirika la Reli Tanzania (jina linahifadhiwa) mwenye makazi yake mjini Morogoro.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mfanyakazi huyo husimamia usafirishaji wa meno hayo kutoka Tabora hadi Itigi ambako hapo hupokelewa na mfanyabiashara (wa Manyoni) ambaye huyahifadhi hapo Manyoni.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Yakiwa hapo Manyoni, meno hayo huhifadhiwa kwa mmiliki wa mojawapo ya hoteli kubwa na maarufu mjini Manyoni, mwenye asili ya mikoa ya kanda ya kaskazini, ambaye yeye huwasiliana na waziri kwa ajili ya maelekezo zaidi juu ya namna ya kusafirisha meno hayo.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Taarifa za kiuchunguzi zinazidi kubainisha kwamba mara nyingi, waziri husika hufika hapo Manyoni kwa ajili ya kuchukua “mzigo” na kila anapokwenda huongozana na mwanamke mmoja, mwenye lafudhi ya watu kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini (jina linahifadhiwa).</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mwanamke huyo ndiye hutumiwa kusafirisha meno hayo yaliyokusanywa yakiwamo ya kutoka ‘kituo’ chao cha Puma, mkoani Singida, ili hatimaye kuyafikisha wanakokubaliana yafike.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Waziri huyo anapokuwa Manyoni amekuwa na kawaida ya kuwakusanya washirika wake katika mtandao huo na wote hupata malazi yao katika moja ya hoteli kubwa na maarufu hapo Manyoni.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wakiwa hapo Manyoni na bosi (waziri) genge hilo la kijangili hujiimarisha kiulinzi kwa kuweka watu wa kulinda hoteli husika na hata kudadisi wageni wengine wanaofika hotelini hapo.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Katika maeneo ya Singinda, mjini Puma, yupo kijana maalumu anayetumiwa na waziri huyo ambaye anatajwa kuwa na undugu wa namna fulani na mteule huyo wa Rais Kikwete. Kijana huyu hutumia namba za mitandao miwili tofauti ya simu za mkononi.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Huyu kazi yake kubwa ni kuwaunganisha wawindaji (wenyewe majangili huita wapigaji) na wakati mwingine hutokea waziri ndiye anayekusanya mzigo. Wakati uchunguzi huu ulipokuwa ukifanyika, kijana huyo alikuwa na meno ya tembo yaliyokuwa yamehifadhiwa eneo la Tinde, mkoani Shinyanga. Hata hivyo, uaminifu wa kijana huyo si mkubwa kwa sababu uchunguzi wetu umebaini wakati mwingine ‘huchota’ mzigo kiasi fulani na kuuza kinyemela bila mtandao kujua.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kijana huyo, kati ya kazi alizowahi kufanya ni kuwaunganisha baadhi ya vijana na mwindaji kutoka Wilaya ya Igunga (jina na mawasiliano yake yanahifadhiwa). Mwindaji huyo wa Igunga anamiliki bunduki aina ya Rifle (namba inahifadhiwa) na wakati uchunguzi wa gazeti hili ukifanyika, alikuwa na vipande sita vya meno ya tembo ambavyo ni sawa na meno matatu.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kwa wakati huo tukifanya uchunguzi, waziri husika alitoa maelekezo vijana wake wasimamishe shughuli zao kwa muda.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Huko wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, Waziri husika anashirikiana na mtu (jina linahifadhiwa) ambaye anafanya biashara ya ng’ombe kama kinga ya kuficha shughuli zake za ujangili. Mtu huyu ni mnunuzi wa meno ya tembo na hukusanya meno yanayotoka katika mapori ya Moyowosi, Kigosi, Burigi, Biharamulo na Kimisi.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Hivi karibuni, mtu huyo amekuwa akikusanya meno ya tembo yanayotoka Moyowosi na amekuwa na wadau wake ambao ni watumishi wa serikali katika mapori ya Burigi na Biharamulo. Mtu huyo amenunuliwa na waziri husika gari aina ya Rav4, kwa ajili ya kukusanya meno ya tembo maeneo ya vijiji vinavyozunguka mapori hayo.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Katika maeneo ya Ilongelo na Ngamo, mkoani Singida, huko waziri husika anaendesha mtandao wake wa ujangili kwa kushirikiana na tajiri mmoja, mwenye asili ya Mkoa wa Simiyu ambaye naye anao mtandao mkubwa unaowahusisha vigogo kadhaa, akiwamo mmoja wa wabunge aliyepata kupigia kelele kuhusu ufisadi bungeni, zikiwamo fedha za akaunti za Uswisi, mbunge huyu ni mwenyeji wa kanda ya ziwa na ni kijana kwa umri.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Taarifa za kiuchunguzi zinabainisha kwamba meno ya tembo yanayokusanywa maeneo ya Singida, Kahama na Meatu hufikishwa katika kijiji cha Ngamo ambako waziri husika akiwa na mwanamke mmoja mkazi wa moja ya mikoa ya kaskazini ambaye ndiye mwenye jukumu la kusafirisha meno hayo.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mtandao wa waziri huyo umejipanua zaidi katika operesheni za kijangili, ukihusisha Wilaya ya Babati, mkoani Manyara. Huko Babati, katika kijiji cha Mayoka, kuna tawi la ujangili la waziri huyo.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Msimamizi wa shughuli za kijangili eneo hilo ni mtu (jina linahifadhiwa) ambaye mara kwa mara huwapo Dodoma kila waziri husika anapokuwa huko kwa shughuli za Bunge. Huyu mtu ndiye husimamia ukusanyaji meno ya tembo kutoka maeneo ya Magugu na Mayoka, wakipata meno hayo kutoka katika Hifadhi ya Taifa Tarangire na ushoroba wa Tarangire – Manyara.</span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kutokana na umahiri wa kuunganisha mitandao wa kijangili nchi nzima, waziri huyo kwa baadhi ya watu analinganishwa na pweza au buibui kutokana na kunasa na kuunda mtandao mpana. </span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="background-color: #f4f4f4; color: #362204; line-height: 21px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; padding: 0px;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Chanzo Gazeti la Raia Mwema</span></div>
<br />
<div>
<br /></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Dar es Salaam, Tanzania-6.8 39.283332999999971-7.304568 38.637885999999973 -6.295432 39.928779999999968tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-80262190880610154252014-07-08T12:13:00.002+03:002014-07-08T13:09:56.906+03:00Mabomu Arusha hali ni tete! <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgFQH38gkJcYrIp_501R9mm-_BOlYsAeINB1sdj1_19t-4QGqpVgyL1waPRmhdFceeaZEAs-ynTwD4keXdaI9IhZq2UvuZweoa4W43293KuYM8hOUBwyD0ldT7w6xSfWH97h-82uliyKL8/s1600/bomu+Arusha.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgFQH38gkJcYrIp_501R9mm-_BOlYsAeINB1sdj1_19t-4QGqpVgyL1waPRmhdFceeaZEAs-ynTwD4keXdaI9IhZq2UvuZweoa4W43293KuYM8hOUBwyD0ldT7w6xSfWH97h-82uliyKL8/s1600/bomu+Arusha.jpg" /></a></div>
<span style="background-color: white; color: #141823; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 18px;"><br /></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjja52fi_LCSIwXeRLThttYSIVqVX5j2xzBxHqnoGQ4WLH4s7am-w9kbEg1SvTQhU5StVeOx_pjZGeawMFuBmFeF7ZUhlY58FIOSSLFCCHZwXij8sGU_H1pa5xd6Dp_WQRwdxt8VrepEMA/s1600/bomu2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjja52fi_LCSIwXeRLThttYSIVqVX5j2xzBxHqnoGQ4WLH4s7am-w9kbEg1SvTQhU5StVeOx_pjZGeawMFuBmFeF7ZUhlY58FIOSSLFCCHZwXij8sGU_H1pa5xd6Dp_WQRwdxt8VrepEMA/s1600/bomu2.jpg" height="360" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: #141823; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 18px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; line-height: 18px;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">•Zaidi ya watu8 wadhaniwa kuuawa na wengine kujeruhiwa. </span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18px;">•Ni katika mgahawa wa kihindi ujulikanao kama Vama Restaurant uliopo maeneo ya Gymkhana. </span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18px;">•Bomu jingine lakutwa limetegwa nyumbani kwa mkuu wa mkoa Arusha Bw.Magesa Mulongo.</span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18px;"><br /></span></span>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18px;">Jeshi la Polisi bado halijatoa tamko lolote na linaendelea kufanya uchunguzi juu ya tukio hili la mlipuko wa Bomu ambao ni tukio la sita kutukia jijini Arusha.</span></span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18px;"><br /></span></span>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18px;">1. </span></span><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafbfb; line-height: 15.359999656677246px;">Olasiti Kanisani </span></span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafbfb; line-height: 15.359999656677246px;">2. Soweto Chadema</span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafbfb; line-height: 15.359999656677246px;">3. </span><span style="background-color: #fafbfb; line-height: 15.359999656677246px;">USA River mkesha wa mwaka mpya</span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafbfb; line-height: 15.359999656677246px;">4. Matako Bar wakati wa UEFA</span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafbfb; line-height: 15.359999656677246px;">5. </span><span style="background-color: #fafbfb; line-height: 15.359999656677246px;">Majengo kwa Sheikh</span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: #fafbfb; line-height: 15.359999656677246px;">6. M</span></span><span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 18px;">gahawa wa kihindi ujulikanao kama Vama Restaurant (sasa)</span>Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Arusha, Tanzania-3.372301 36.694413599999962-3.4991070000000004 36.533052099999964 -3.245495 36.85577509999996tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-19105373700497925462014-07-07T22:01:00.000+03:002014-07-07T22:01:03.921+03:00Vazi la taifa la Tanzania, yapi maoni yako?!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhCJ6jKJj4TfncNMs3yIngmlHq7jA2NgWM_44yK56YuvdBJVOH2MKZ_qUfWyE9-jnId1vVZqX-KDP1FISLxisFQFRUDpoKgOj2sempi77vvIwYr8C-rKli37JaK6jJX-baf8bJpb81sbdo/s1600/Salvatory+Mkami.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhCJ6jKJj4TfncNMs3yIngmlHq7jA2NgWM_44yK56YuvdBJVOH2MKZ_qUfWyE9-jnId1vVZqX-KDP1FISLxisFQFRUDpoKgOj2sempi77vvIwYr8C-rKli37JaK6jJX-baf8bJpb81sbdo/s1600/Salvatory+Mkami.jpg" /></a></div>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Baada ya mchakato wa muda mrefu wa upatikanaji wa vazi rasmi la Mtanzania kusuasua na kuonekana wazi kwamba upatikanaji wake umeshindikana na hakuna jitihada zozote kuntu zinazofanywa na seriakali kupelekea upatikanaji wa vazi hilo rasmi la taifa hatimaye Mbunifu ambaye hakutaka jina lake kutajwa mara moja ameibuka na vazi lake kama inavyoweza kuonekana pichani na kuishauri Serikali ilipitishe kuwa vazi rasmi la taifa kwasababu linakidhi vigezo na mahitaji ya vazi halisi la taifa.</span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Akiendelea kuongea na Maisha Times mbunifu huyo mchanga aliongeza kwamba imekuwa ni vigumu kupatikana kwa vazi la taifa kwasababu Watanzania walio wengi wameonekana kuvutiwa zaidi na mavazi ya kimagharibi kuliko mavazi yao ya kiasili jambo ambalo baada ya mbunifu huyo kulitafakari kwa kina ndipo alipoamua kuja na vazi hilo alilolipa jina na "nusu nusu" kwa namna muonekano wake ulivyo (Sura Mbili) ambapo upande mmoja umebeba utamaduni wa kimagharibi na upande mwingine umebeba utamaduni wa Kitanzania zaidi kama inavyoweza kuonekana pichani.</span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Je wewe una ushauri gani kuhusiana na vazi hili ambalo mbunifu amependekeza na kutaka Serikali ilipitishe kuwav vazi rasmi la taifa?</span>Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-55815901115062430002014-06-30T10:16:00.001+03:002014-06-30T10:16:19.294+03:00Ulokole umekuja kuuimarisha au kuuvuruga ukristo??!!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_spbATNEDPyrverMSYKhRKrQiivDxNOGz7gyzDWtCjzkySDKjJtu70j8_x7eF5OCIQ0oX82fukohseyrYhEuognmBp2MMYOLfAIDeIzazp7ooUerH5qFzsVziWldF59XSvpwHuvze9VQ/s1600/walokole.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_spbATNEDPyrverMSYKhRKrQiivDxNOGz7gyzDWtCjzkySDKjJtu70j8_x7eF5OCIQ0oX82fukohseyrYhEuognmBp2MMYOLfAIDeIzazp7ooUerH5qFzsVziWldF59XSvpwHuvze9VQ/s1600/walokole.jpg" height="466" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJAwLOX0bRN9FpYGknc8SobmgPaQPgX8aRxKBcNF6fqqYvIx7erCV0J2kjf9lo3tmiJtTYX5kZVpOIyKlPd7q5md9ZN4X6gU2Bg14AZ8RpQ2kjJKN6JduP3CtgXRNYvsVpRCrohmCbViI/s1600/walokole2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJAwLOX0bRN9FpYGknc8SobmgPaQPgX8aRxKBcNF6fqqYvIx7erCV0J2kjf9lo3tmiJtTYX5kZVpOIyKlPd7q5md9ZN4X6gU2Bg14AZ8RpQ2kjJKN6JduP3CtgXRNYvsVpRCrohmCbViI/s1600/walokole2.jpg" height="424" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;">Pichani ni walokole ambao kwa Imani yao waliambiwa na Mchungaji wao kwamba wakila majani watakuwa karibu na Mungu.</span></div>
<span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;">Nakumbuka wakati nikiwa na miaka 7 na kuendelea kulikuwa na madhebebu kama manne makubwa ya Kikristo ambayo niliyafahamu kwa mf:</span><br style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;" /><br style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;" /><span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;">1. Catholic</span><br style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;" /><span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;">2. Lutheran</span><br style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;" /><span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;">3. Anglican</span><br style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;" /><span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;">4. Advent. Sabath </span><br style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;" /><br style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;" /><span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;">ambapo kila dhehebu liliisimamia vyema imani ya kikristo sambamba na nidhamu ya viongozi na waumini wake inavyotakikana,. Lakini tangu kuingia kwa hili wimbi la madhehebu ya "Kilokole" katika nchi mbalimbali bar</span><span class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #37404e; display: inline; font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 20px;">ani Afrika hususani nchini Tanzania ambapo hapo awali madhebebu hayo hayakuwepo hali imebadilika na vitendo vinavyoidhalilisha dini ya Kikristo vimeonekana kuongezeka kwa kiasi kikubwa kutokana na mambo mbalimbali kwa mf. Vitendo vinavyofanywa na Viongozi wa madhehebu hayo au Waumini wa madhehebu hayo.<br /><br />Swali ni langu ni je: Tatizo ni nini?<br /><br />1. Madhehebu hayo.<br />2. Wamiliki/Viongozi wa madhehebu hayo.<br />3. Waumini wa madhehebu hayo.<br />4. Mabadiliko ya hali ya kimaisha.<br />5. Imani mbadala zinazoupinga Ukristo?<br /><br />Au tatizo ni nini haswa?¿<br /><br />Naipenda sana dini yangu ya Kikristo pasipo kujali dhebebu lolote lakini nachukizwa sana na vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wamiliki/viongozi na waumini wa madhehebu ambavyo vinaudhalilisha na kuupaka matope Ukristo.</span>Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-60490056675486184642014-06-01T11:30:00.000+03:002014-06-01T13:56:01.134+03:00Breaking News: Mama mzazi wa Zitto Kabwe afariki dunia!<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div class="separator" style="clear: both; color: #333333; font-family: 'Times New Roman', Times, serif; font-size: 14px; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGTY-7K7rErV6WxVNKf5tpJlWGvZRCMyBnZjCPEka_aWisbCN-6bsxOX1MLEuZKwG9ISGlt5vMBB84ZaEscYgSsV9dxEUYJaPbbtAKvF_FyVmmcg6Dm-3bFrnAyUVWc8RrUPFbRWq4XOk/s1600/mama+zitto+px.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGTY-7K7rErV6WxVNKf5tpJlWGvZRCMyBnZjCPEka_aWisbCN-6bsxOX1MLEuZKwG9ISGlt5vMBB84ZaEscYgSsV9dxEUYJaPbbtAKvF_FyVmmcg6Dm-3bFrnAyUVWc8RrUPFbRWq4XOk/s1600/mama+zitto+px.png" height="322" width="640" /></a></div>
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px; text-align: center;">
<span style="color: #666666; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="text-align: start;">Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania, (Chawata), Shida Salum ambaye pia ni </span>ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema ambaye ni mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe.</span></div>
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #666666; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mama mzazi wa mbunge wa Kigoma kaskazini Mh Zitto Kabwe ambaye alikuwa mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania, (Chawata) na Mjumbe wa Bunge maalum la Katiba Bi Shida Salum amefariki dunia akiwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Ami, Masaki, Dar es Salaam akisumbuliwa na maradhi ya saratani. </span></div>
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #666666;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Hii ni status ya Zitto Kabwe aliyoiandika dakika chache zilizopita katika ukurasa wake wa Facebook akisema "</span><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="line-height: 20px;">My mother has just passed away. Inna lillah wainna illaih raajiun</span><span style="line-height: 1.4em;">"</span></span></span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #666666; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Bi Shida ambaye mpaka kifo kinamkuta alikuwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema alilazwa hospitalini hapo wiki kadhaa zilizopita. Alianza kusumbuliwa na maradhi hayo mapema Agosti mwaka jana lakini hali yake ilibadilika mapema mwaka huu akiwa mjini Dodoma akisubiri kuapishwa pamoja na wajumbe wengine wa Bunge Maalumu la Katiba.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #666666; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Akizungumza hospitalini hapo tarehe21, Zitto alisema baada ya hali ya mama yake kuwa mbaya alishindwa kuendelea kukaa Dodoma kusubiri kuapishwa na alipelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ambako aligundulika kuwa na saratani ya shingo ya kizazi na kupatiwa tiba kwa mwezi mmoja kabla ya kupelekwa India kwa matibabu zaidi.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #666666; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisema kabla ya kupelekwa hospitalini hapo, alikuwa akiendelea kupata matibabu akiwa nyumbani, lakini hali yake ilibadilika tarehe 20 mei 2014.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #666666; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Zitto alisema hali ya mama yake haikutengemaa tangu aanze kusumbuliwa na maradhi hayo. Alisema kutokana na maradhi hayo ya mama yake, ameshindwa kuhudhuria Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma.</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; margin: 0px; padding: 0px;">
<div style="line-height: 1.4em; margin-bottom: 20px; padding: 0px;">
<span style="color: #666666; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tangu kuanza kwa Bunge la Bajeti, Zitto alionekana Dodoma mara moja tu, siku ilipowasilishwa Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).</span></div>
</div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-9714511364061777742014-05-30T20:00:00.000+03:002014-05-31T10:41:57.987+03:00Pigo tena katika tasnia ya Bongo Movie: George Tyson afariki!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgV85fAK4Vy2oAaPqExGF9-T6k9VzRb-gIsGWIBxrp5Osp2aSx8yMbUKxkRhU7fTUs2giNqCd1quNkyoIV8R9dk8MaHYj9PjqYK14i9jbbvx5A0B7I5yPPss9ljRgHQKpT-eGodSkouVXY/s1600/George+Tyson.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgV85fAK4Vy2oAaPqExGF9-T6k9VzRb-gIsGWIBxrp5Osp2aSx8yMbUKxkRhU7fTUs2giNqCd1quNkyoIV8R9dk8MaHYj9PjqYK14i9jbbvx5A0B7I5yPPss9ljRgHQKpT-eGodSkouVXY/s1600/George+Tyson.JPG" height="426" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background: rgb(255, 255, 255); border: 0px; line-height: 19.200000762939453px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; text-align: start;">Marehemu George Tyson alipokuwa akiongea na kituo cha EATV enzi za uhai wake.</span></span></div>
<span style="background: rgb(255, 255, 255); border: 0px; line-height: 19.200000762939453px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span>
<span style="background: rgb(255, 255, 255); border: 0px; line-height: 19.200000762939453px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Ni pigo tena kwa tasnia ya Bongo Muvi, mwongozi filamu Bongo na aliyekuwa mume wa <span class="st" style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-color: transparent; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; border: 0px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">staa wa filamu za Kibongo, Yvonny Cherry 'Monalisa'</span>, George Tyson amefariki dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari maeneo ya Gairo, Morogoro akitokea mkoani Dodoma. Tyson alikuwa ameambatana na watu kadhaa katika safari hiyo ambao wanadaiwa kuumia vibaya. </span></span><br />
<span style="background: rgb(255, 255, 255); border: 0px; line-height: 19.200000762939453px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span>
<span style="background: rgb(255, 255, 255); border: 0px; line-height: 19.200000762939453px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mwili wa marehemu Tyson pamoja na majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. </span></span><br />
<span style="background: rgb(255, 255, 255); border: 0px; line-height: 19.200000762939453px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span>
<span style="background: rgb(255, 255, 255); border: 0px; line-height: 19.200000762939453px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tyson enzi za penzi lake na Monalisa walifanikiwa kupata mtoto aitwaye Sonia.</span></span><br />
<span style="background: rgb(255, 255, 255); border: 0px; line-height: 19.200000762939453px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span>
<span style="background: rgb(255, 255, 255); border: 0px; line-height: 19.200000762939453px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Maisha Times Blog inatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na wasanii wote wa tasnia ya Bongo Movie kwa msiba mzito wa kuondokewa na kaka mpendwa </span></span><span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 19.200000762939453px;">George Tyson</span><span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 19.200000762939453px;">. </span>Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Dar es Salaam, Tanzania-6.8 39.283333299999981-7.304568 38.637886299999984 -6.295432 39.928780299999978tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-57241155967304904142014-05-29T12:46:00.002+03:002014-05-29T12:46:44.849+03:00It's a shame that these posts can't be filled by Tanzanians!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiQXrxIhyTgnJyOpZ6OaP4w7JQZzfzN5070ON_TCZZ3r1ONLf7DdkCJDC2IrOUxFU7zz2fWGguu_xJ9oqBmyW2Xp6xswyQyL04cTNX01_Wa7kP56J0_2iyAUUSxV6J38jtNRq1uvCIkyAk/s1600/bill-and-melinda-gates-foundation.jpeg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiQXrxIhyTgnJyOpZ6OaP4w7JQZzfzN5070ON_TCZZ3r1ONLf7DdkCJDC2IrOUxFU7zz2fWGguu_xJ9oqBmyW2Xp6xswyQyL04cTNX01_Wa7kP56J0_2iyAUUSxV6J38jtNRq1uvCIkyAk/s1600/bill-and-melinda-gates-foundation.jpeg" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #37404e; line-height: 20px;">Dear Colleagues in development, </span><br style="background-color: white; color: #37404e; line-height: 20px;" /><span style="background-color: white; color: #37404e; line-height: 20px;">A program is about to start in Tanzania, funded by Bill Merinda Gate Foundation, for transformation of the agricultural industry. However, the Senior Program Officer / Senior Regional Advisor -East Africa, who is Kenyan and based in Seattle, has told me that they have failed to find qualified Tanzanians to fill the positions indicated below. I did not believe her b</span><span class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #37404e; display: inline; line-height: 20px;">ecause I know we have a lot of talent in the different agricultural sciences. Please help to look for the right people so we do not loose these opportunities to foreign experts. This is very URGENT.<br /><br />Though it may seem closed, UNDP will still welcome good candidates. Ask them to write to Ernest Salla at </span><span class="text_exposed_show" style="color: #37404e; display: inline; line-height: 20px;"><span style="background-color: white;">ernest.salla@undp.org</span><br /><br /><br /><span style="background-color: white;">Director of Agricultural Productivity: </span><a href="http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45669" style="background-color: white;"> http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45669</a><br /><span style="background-color: white;">Director of Performance Analytics and Evaluation: </span><a href="http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45659" style="background-color: white;">http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45659</a><br /><span style="background-color: white;">Manager of Market Efficiencies: </span><a href="http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45670" style="background-color: white;">http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45670</a><br /><span style="background-color: white;">Manager of Planning and Budget: </span><a href="http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45673" style="background-color: white;">http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45673</a><br /><span style="background-color: white;">Manager of Production Monitoring: </span><a href="http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45672" style="background-color: white;">http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45672</a><br /><span style="background-color: white;">Senior Analyst:</span><a href="http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45674" style="background-color: white;"> http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45674</a><br /><span style="background-color: white;">Communications Analyst: </span><a href="http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=41731" style="background-color: white;">http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=41731</a><br /><span style="background-color: white;">Analyst: </span><a href="http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45675" style="background-color: white;">http://jobs.undp.org/cj_view_job.cfm?cur_job_id=45675</a><br /><br /><span style="background-color: white;">Best regards </span><br /><br /><span style="background-color: white;">Juliana</span><br /><br /><span style="background-color: white;">Dr. Juliana Rwelamira</span><br /><span style="background-color: white;">Managing Director</span><br /><span style="background-color: white;">Sasakawa Africa Association</span><br /><span style="background-color: white;">P O Box 24135 Code 1000</span><br /><span style="background-color: white;">Addis Ababa</span><br /><span style="background-color: white;">ETHIOPIA</span><br /><span style="background-color: white;">E-mail: jrwelamira@saa-safe.org</span><br /><span style="background-color: white;">Tel: +251-11 647-7670/7667</span><br /><span style="background-color: white;">Mobile: +251 911 512 555</span><br /><span style="background-color: white;"><br /></span></span></span><br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span class="text_exposed_show" style="color: #37404e; display: inline; line-height: 20px;"><span style="background-color: white;">Tafadhali sambaza ujumbe </span><span style="background-color: white;">forward to your contacts please...</span></span></span>Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0Dar es Salaam, Tanzania-6.8 39.283333299999981-7.304568 38.637886299999984 -6.295432 39.928780299999978tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-87442617273331144452014-05-18T11:48:00.001+03:002014-05-18T11:52:18.497+03:00Mpaka muda huu Diamond Platnumz anaongoza kwa kura BET Award!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXbDXFCD_vG7ENAjCUaNNtaKa2cPYKd67ckAlqmI7Rect9jGiLz31nDLArnhx5GuXY0TteLoHd_SGHX1ExVngMKhRE3P3DonRb9DuK0LTblrFdaImyEt0NkKy4crgF6NYe95_3rANTj7Q/s1600/Diamond1.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXbDXFCD_vG7ENAjCUaNNtaKa2cPYKd67ckAlqmI7Rect9jGiLz31nDLArnhx5GuXY0TteLoHd_SGHX1ExVngMKhRE3P3DonRb9DuK0LTblrFdaImyEt0NkKy4crgF6NYe95_3rANTj7Q/s1600/Diamond1.png" height="640" width="636" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 20px; text-align: start;">Msanii Diamond Platnumz wa Tanzania</span></div>
<br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 20px;">1. Diamond Platnumz (Tanzania) 63.06% </span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 20px;">2. Mafikizolo (South Africa) 12.29% </span></span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 20px;">3. Davido (Nigeria) 7.62% </span></span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 20px;">4. Tiwa Savage (Nigeria) 7.61% </span></span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 20px;">5. Sarkodie (Ghana) 5.29% </span></span></span><br />
<span style="color: #444444;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 20px;">6. Toofan (Togo) 4.13%</span></span></span><br />
<br />
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="color: #444444;">Kupiga kura yako Ingia kwenye Website hii </span><a href="http://v1019.cbslocal.com/"> http://v1019.cbslocal.com/</a></span>Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-49800565010367706732014-04-21T11:03:00.001+03:002014-04-21T11:14:15.381+03:00KATIBA MPYA: Maaskofu mbalimbali wa Kikristo Tanzania watoa ujumbe!<div style="text-align: center;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirR5b5N1YiKNgKwLIYOQ2jpf9w4qBdertGZl5zhvFWHPVClPov30vHnj9NMCXWSLt4-r1dJISxGRZkUokl-rN3CE88SIxB5UInVHBb8xObsLVDr3nw7c0sHAgvV45nU5X19QDcvrkzbUo/s1600/Maaskofu.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirR5b5N1YiKNgKwLIYOQ2jpf9w4qBdertGZl5zhvFWHPVClPov30vHnj9NMCXWSLt4-r1dJISxGRZkUokl-rN3CE88SIxB5UInVHBb8xObsLVDr3nw7c0sHAgvV45nU5X19QDcvrkzbUo/s1600/Maaskofu.JPG" height="480" width="640" /></a></div>
<span style="background-color: white; line-height: 18px; text-align: start;"><span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania</span></span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">MAASKOFU WOTE WA KANISA KATOLIKI TANZANIA WATOA UJUMBE MKALI;</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">*Waiunga mkono tume ya Jaji Warioba na kutaka iheshimiwe,</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">*Watetea Maoni ya Wananchi yaliyomo kwenye Rasimu,</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">*Wasema Muundo wowote wa Serikali unafaa.</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18px;"><br /></span>
<span style="background-color: white; line-height: 18px;">Maaskofu 32 wa Kanisa Katoliki Tanzania, wametoa waraka maalumu wa Pasaka wakiwataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuheshimu maoni ya Watanzania yaliyomo katika Rasimu ya Katiba na kuweka pembeni itikadi za kisiasa katika mchakato wa kuandika Katiba Mpya.</span></span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">“Tunalisihi na kulishauri Bunge Maalumu la Katiba kuheshimu mawazo yaliyowasilishwa na kutumia busara zilizopendekezwa za kujenga muundo wa Muungano utakaokidhi mahitaji ya utangamano, mshikamano, amani, maadili, uhuru na uwajibikaji wa viongozi na raia wa Tanzania,” walisema katika tamko hilo ambalo, Makamu wa Rais wa TEC, Askofu Severine Niwemugizi alithibitisha kuwa umetolewa na kanisa hilo.</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">Kauli ya viongozi hao ambayo ilisomwa katika makanisa mbalimbali nchini jana, imekuja ikiwa zimepita siku sita tangu Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba kutokana na mvutano unaoendelea juu ya hoja ya muundo wa Serikali.</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">“Kazi ya kuandika Katiba ni ngumu na haishangazi kuona migongano ya hoja kwa makundi kinzani. Mawazo ya wengi yamewasilishwa kisheria na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa ajili ya kujadiliwa na Bunge Maalumu la Katiba,”.</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">“Sasa, tunashuhudia makundi yenye nguvu yakijaribu kushinikiza kuingizwa matakwa yake kwenye Katiba kwa njia zozote zile ili kujihakikishia kuendelea kulinda maslahi yake kisiasa"</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">“Kupungua kwa hisia za kujisikia watu wote ni taifa moja, ni dosari iliyoanza kukua taratibu na sasa inaonekana kuwa ndiyo ukweli,” walisema.</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">Walisema kasoro zilizojitokeza katika mambo mbalimbali ndiyo chanzo cha watu kutaka mabadiliko: “Watu wengi walitaka na wanataka mabadiliko au mageuzi ya msingi. Kwa msukumo huo ndiyo sababu ya kuingia katika mchakato wa kuandika katiba mpya"</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">“Tuandae Katiba ambayo itatupatia misingi imara ya maadili itakayotuongoza kupigana dhidi ya ubinafsi na ufisadi na kutetea haki za binadamu kwa wote,” walisema.</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">Hata hivyo, walisema iwapo utakuwapo muafaka na kukubaliana katika mambo muhimu kwa maisha ya mshikamano wa kitaifa ambayo katika Rasimu ya Katiba yameandikwa kwenye sura ya kwanza hadi ya tano, muundo wowote wa serikali unawezekana.</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">Walisema ili kufikia lengo la kuwa na Katiba bora ni lazima maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba yaheshimiwe kama ambavyo imetamka Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">“Kuwe na nia njema ya kutafuta suluhisho la matatizo mengi ya utendaji katika dola zilizopo katika Muungano, kutokuwa wabinafsi pamoja na kuchambua matatizo ya sasa ya Muungano na kuridhia mfumo utakaomaliza matatizo hayo,” walisema.</span><br />
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;"><br /></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvmp_7WM-AZk1DYCWykSu-cWM0PJICR3XqEA80xtfx8BvVUyacNyyyBpZI_uodIvsz7TABrw8PgS6TDoLznidTulIsmme8886ogcccXFR32eOGVkSB9BoVa3mZ4t8kr5yPqqlnfPYf_ZQ/s1600/Anthony+Lusekelo.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvmp_7WM-AZk1DYCWykSu-cWM0PJICR3XqEA80xtfx8BvVUyacNyyyBpZI_uodIvsz7TABrw8PgS6TDoLznidTulIsmme8886ogcccXFR32eOGVkSB9BoVa3mZ4t8kr5yPqqlnfPYf_ZQ/s1600/Anthony+Lusekelo.JPG" height="480" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; line-height: 18px; text-align: start;">Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo, Dar es Salaam, Anthony Lusekelo maarufu ‘Mzee wa Upako’</span></div>
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">MCHUNGAJI LUSEKELO;</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo, Dar es Salaam, Anthony Lusekelo maarufu ‘Mzee wa Upako’ amemtaka Rais Jakaya Kikwete kusitisha mchakato wa Katiba kwa lengo la kunusuru amani ya Taifa.</span><br />
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; line-height: 18px;" /></span>
<span style="color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; line-height: 18px;">Lusekelo alisema siyo lazima Katiba Mpya ipatikane mikononi mwa Rais Kikwete kwa kuwa hatua iliyofikiwa kwa sasa ni kubwa, hivyo inaweza kuendelezwa na Rais atakayefuatia mwaka </span><span class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 18px;">2015.<br /><br />Akizungumza jana katika ibada ya Pasaka, Lusekelo alisema hali inayoendelea kwa sasa inajenga hofu na kuwachanganya Watanzania kutokana na hofu ya Uchaguzi Mkuu ujao.<br /><br />Alisema Bunge la Katiba kwa sasa limekuwa mfano wa klabu ya pombe za kienyeji kutokana na vurugu alizodai kuchangiwa na wajumbe wa CCM.<br /><br />“Hakuna majadiliano ya kujenga hoja na badala yake tunasikia matusi tu yanarushwa... uamuzi wa Profesa Ibrahim Lipumba kutoka nje ulikuwa ni sahihi. Hata mimi iwapo ningekuwa mjumbe, ningekuwa wa kwanza kutoka,” alisema Lusekelo na kuongeza:<br /><br />“Kwa hiyo ni vyema mchakato ukasitishwa kwa hatua iliyofikia ili Taifa litulie na wananchi wajiandae kwa Uchaguzi Mkuu ujao.”</span></span><br />
<br />
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #444444; display: inline; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;">ASKOFU GLORIOUS SHOO;<br /><br />Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), mjini Moshi, Kilimanjaro, Glorious Shoo amewatahadharisha wajumbe wa Bunge la Katiba kutotumia wingi wao bungeni kuzuia mabadiliko ya Katiba.<br /><br />Akizungumza katika ibada ya Jubilee ya miaka 75 ya kanisa hilo, Askofu Shoo alisema umefika wakati ambao Watanzania wanataka mabadiliko, hivyo wajumbe wa Bunge Maalumu wasitumie wi<span class="text_exposed_show" style="display: inline;">ngi wao kuzuia mabadiliko.<br /><br />“Tusilazimishe kwa wingi wetu kuzuia mabadiliko kwa sababu ukweli tunaposema wingi wetu ni pale bungeni tu, lakini wingi wetu sisi tulioko nje tunasikia kelele nyingi zinazolazimisha mabadiliko naiomba Serikali izingatie hilo,” alisema Askofu Shoo.<br /><br />“Watu wanaosoma nyakati, wanajua ukifika wakati wa mabadiliko hakuna anayeweza kuzuia na ukijaribu kuyazuia mabadiliko hayo yanakuja kukubadilisha wewe,” alisema Askofu Shoo.</span></span><br />
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #444444; display: inline; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;"><span class="text_exposed_show" style="display: inline;"><br /></span></span>
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 18px;"><span class="text_exposed_show" style="color: #444444; display: inline; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEid-DGaFDB3e2lWDsnAfy_pGGrqAMPbJqMXJ4LBGQAnFBRZ3-3zk_xwRGfvKiDLFjh7UxaPkP5y_a06-5fYvzdTjycCdOIWqculczebo4lUjxXEgxWdsJOSCxx6MQ9HETLbksJP2TJuKfk/s1600/Kakobe1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEid-DGaFDB3e2lWDsnAfy_pGGrqAMPbJqMXJ4LBGQAnFBRZ3-3zk_xwRGfvKiDLFjh7UxaPkP5y_a06-5fYvzdTjycCdOIWqculczebo4lUjxXEgxWdsJOSCxx6MQ9HETLbksJP2TJuKfk/s1600/Kakobe1.jpg" height="450" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 18px;"><span class="text_exposed_show" style="color: #444444; display: inline; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="text-align: start;">Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe</span></span></span></div>
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 18px;"><span class="text_exposed_show" style="color: #444444; display: inline; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></span>
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; display: inline; line-height: 18px;"><span class="text_exposed_show" style="color: #444444; display: inline; font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">ASKOFU KAKOBE;<br /><br />Kwa upande wake, Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe ametangaza kuungana na wanaodai Serikali ya Tanganyika na kuahidi kujenga ari na shauku ya kuhakikisha inarejeshwa.<br /><br />Akizungumza wakati wa ibada ya Pasaka iliyofanyika kanisani hapo jana, Askofu Kakobe alisema anafanya hivyo si kwa ushabiki ila ni kutokana na mipango ya Mungu, ambayo iliwezesha k<span class="text_exposed_show" style="display: inline;">uwapo kwa Tanganyika huru. Huku akishangiliwa na waumini wa kanisa hilo, Askofu Kakobe alisema wanaoidai Tanganyika katika Bunge la Katiba wapo sahihi na yeye anaungana nao na kuwa wanaopinga wamekosa hofu ya Mungu.<br /><br />“Serikali ilitumia mamilioni ya shilingi kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru, lakini wanashindwa kutamka uhuru wa nchi gani!”<br /><br />(Chanzo, Gazeti la Mwananchi, Jumatatu - 21/04/2014)</span></span></span><br />
<span style="background-color: white; color: #444444; font-family: Georgia, Times New Roman, serif; line-height: 18px;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #37404e; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 18px;"><br /></span>Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6709156779067387888.post-6408449360027553802014-04-19T14:31:00.002+03:002014-04-19T14:31:54.356+03:00Angalia hii- Uhalisia kati ya Tajiri vs Masikini!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgu0k36PnCuHxDcpkypjveaMS2aWCpblbhdxPd-y6qB8zaou10J2XMhfRRDpMi_KQtj0iUlp95-pBnabwl8HbQCMKwncjI7u4Dbg4W8HeONirzXq2C81g2qYjv9LpP5IlJIR7l53eqXr0k/s1600/saini.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgu0k36PnCuHxDcpkypjveaMS2aWCpblbhdxPd-y6qB8zaou10J2XMhfRRDpMi_KQtj0iUlp95-pBnabwl8HbQCMKwncjI7u4Dbg4W8HeONirzXq2C81g2qYjv9LpP5IlJIR7l53eqXr0k/s1600/saini.jpg" height="480" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
Mkamishttp://www.blogger.com/profile/04828756949133986403noreply@blogger.com0