Advertise with Us

Advertise with Us

DHall

DHall

Pages

July 11, 2013

Mama mzazi wa Msanii Frof. Jay amefariki dunia usiku wa kuamkia leo!


Pichani Msanii Prof. Jay akiwa na marehemu mama yake Bi Rosemary Majanjara.

Habari zilizoifikia Maisha Times Blog zinaripoti kwamba mama mzazi wa Msanii nguli wa Muziki wa Bongo Flavour (Hip Hop) Frof. Jay amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Tumbi muda mfupi baada ya kupata Ajali ya gari maeneo ya Mbezi mwisho wakati akitokea akitokea nyumbani.

Maisha Times inatoa pole kwa Msanii Prof. Jay na wanafamilia wote. Mungu ailaze roho ya mpendwa mama yetu mahali mema peponi Amen. 

No comments:

Post a Comment