Advertise with Us

Advertise with Us

DHall

DHall

Pages

September 4, 2012

Mh. Freeman Mbowe, safarini kurejea nchini Tanzania


Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mh. Freeman Mbowe, akishindikizwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Reagan National Airport na baadhi ya viongozi wa Tawi la Chadema DMV safarini kuelekea Nchini Tanzania,  baada ya mkutano rasmi  uliofanyika Siku ya Jumamosi Sept 1, 2012, kwenye ukumbi wa Hoteli ya Hampton Inn College Park, Maryland Nchini Marekani.
 
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Mr II), Liberatus Mwang'ombe, Ludigo Mwaigama, na Mwenyekiti Cosmas Wambura, wakimshindikiza  Mh. Freeman Mbowe leo Jumatatu Sept 3, 2012 kuelekea nyumbani Tanzania

Mh. Freeman Mbowe akipta picha ya pamoja na Viungozi wa Tawi la Chadema DMV wakatiwa safari yake ya kurudi Nchini Tanzania, (Wa kwanza kulia) Muweka hazina Ludigo Mwaigama,akifuatiwa na Katibu wa Chadema DMV Mh. Isdori Lyamuya, na wamwanzo kulia ni Mwenyekiti Cosmas Wambura

Uongozi wa Chadema DMV wakimtakia Safari njeema Mh. Freeman Mbowe.

No comments:

Post a Comment