Advertise with Us

Advertise with Us

DHall

DHall

Pages

May 2, 2013

Ben Saanane aanika njama chafu za UVCCM & CCM kukihujumu CHADEMA!

 
 
Ben Saanane
 Chanzo: Group ya CHADEMA vs CCM  http://www.facebook.com/groups/cdmccm/525124697547140/?notif_t=group_comment_reply
Niliwaonya hawakusikia.Wameenda mbali kuanzisha kundi STOP BEN SAANANE GROUP (SBS).Tumewakamata ....Angalia mipango hii ya CCM.Mengine senstive nimempelekea katibu Mkuu wa chama changu.Yapo makubwa zaidi yaliyopangwa na yapo mawasiliano ya watu wengine tumeshapeleka sehemu husika.UPDATES:MAWASILIANO YA SIRI

Haya hapa Chini ni mawasiliano ya siri baina ya wanaokula njama.Naomba mfanye uamuzi wenyewe.Sibahatishi

1:MARTIN SHIGELA(KATIBU MKUU UVCCM VS EDDAH KISHIMBA) FACEBOOK INBOX

Reuben Martine Shigela

• Conversation started February 21

1:11pm
Reuben Martine Shigela
Eddah mambo vp?? Thanks kwa.urafiki. Vp za wapi??

1:32pm
Eddah Kishimba
Za India Shigela.Asante mkuu

1:35pm
Reuben Martine Shigela
Oooh vp kwema huko??? Huku Dar joto saaana. Lini waja huku??? Naona umemchana Ben hahahahahah. Hongera

Eddah Kishimba
he he he.Huku ndiyo winter imeisha .nitammaliza...

1:41pm
Reuben Martine Shigela
Hahahahahahaha unarudi lini huku?? Twaweza pia badilishana mawasiliano ya simu

1:49pm
Eddah Kishimba
+919700526429.nipo roaming kwa hiyo ninatumia hii kwa dharura.Narudi mwezi ujao
hiyo ni landline,nikiwa nimetoka atapokea Pamela

1:54pm

Reuben Martine Shigela
Oooohhh upo roaming, unatumia simu ya home. Ya kwangu ni 0767901906. Bora nipe ya cellular
• April 12 3:51pm

Eddah Kishimba
Martin
Umesharudi Dar ama upo China bado?Narudi Next week kama upo China naweza kuja weekend hii nikafanya arrangemet ubalozini.

Naona akina Ben tumewashika pabaya. Mnyika kimya bila shaka hili suala la video limewatetemesha.Nimemuandikia Nape atumie mbinu kumshawishi Ben kama alivyofanya kwa akina Shonza amrubuni akiwa huko huko Chadema tupate taarifa muhimu au aandae mtandao muhimu halafu ahamie CCM tumtumie kuelekea uchaguzi mkuu 015 kwa kuwa atakua na siri nyingi.Afanye hata mpango wa nafasi mojawapo kwa wakuu wa wilaya au uofisa ubalozi nje ilimradi kuna manufaa kisiasa ikishindikana tutaona alternative.

Kama upo China nikija Guangzou kesho au keshokutwa tutaongea. Nitumie namba yako nikupigie eddahkishimba@yahoo.com

4:03pm
Reuben Martine Shigela
Safi sana.Salama Eddah. Vp mambo?? Nipo Dar tayari. Lini unakuja huku?? Ni kweli cdm wapo pabaya saaaana.

Eddah Kishimba
Nakuja tarehe 22 au 23.Nilidhani bado upo china.Naelekea China kesho.Jioni hii naelekea Mumbai.Ulirudi Tanzania bila kuja new Delh?Una roho mbaya.lol

4:18pm
Reuben Martine Shigela
Ooooooohh jaman hukunikaribisha jaman. Mie nakukaribisha saaaana. Utakaaa kwa mda gani. Umenitengea siku ngapi za kuwa na mimi ili twende Znz ukapumzike my dear

2:NAPE MOSES NNAUYE VS EDDAH:

Nape Moses Nnauye

• Conversation started April 12


3:54pm
Eddah Kishimba
Nape,
Bila shaka umepata ujumbe wangu kutoka kwa Shigela kuhusu suala la Ben Saanane.tunaweza kumtumia kama utamshawishi akajiunga na CCM huyu kama ilivyo kwa akina Shonza.

3: JUNIOR MATUKUTA MWENYEKITI WA UVCCM MBEYA

Junior Matukuta

• Conversation started February 21

1:36pm
Junior Matukuta
Thanx 4 acceptance.
Pls naomba hiyo story ya Ben Saa8 uniwekee kwenye wall yang.
Mimi ni kada wa CCM ww je?
1:38pm
• 1:38pm

Eddah Kishimba
Poa wacha nikuwekee tuisambaze na ikiwezekana tutaisambaza kwenye magazeti

1:58pm
Junior Matukuta
Pia kna baadhi ya group nimekuadd.
Kama inawezekana tupia napo kule na sehemu nyingine za groups kama ww ni member.
Ben Saa8 mimi napambana nae sana kwenye group moja linaitwa TANURU LA FIKRA lenye members 10,000

4: EDDAH VS MWAMPAMBA

• Conversation started February 21

1:07pm
Eddah Kishimba
Ninashindwa kuweka picha nyingi kwenye blogs za sanga.tutamsulubisha ben hadi aone pachungu
1:24pm
Mtela Mwampamba
Yaap mkuu weka picha kwa kutumia habarimpasuko@gmail.com

NB:HABARI MPASUKO NI BLOG INAYOMILIKIWA NA FESTO SANGA MMOJAWAPO WA MASALIA/PM-7 ambaye leo namaliza Mwaka mmoja tangu nikutanishwe naye na akina Juliana Shonza na Mtela mwampamba pale Lunch Time Hotel ubungo.Alikua original owner wa TUNTEMEKE ID humu JF

Kuna Mawasiliano Mengine nyeti sana sitayaweka humu.Nitayapeleka kwa viongozi wangu wa juu na pia kuna Mawasiliano yaliyofanyika na Binamu yangu kwa heshima ya familia yangu sitayaweka humu.Pia Mawasiliano yaliyofanyika ya kutaka hadi kumshawishi partner wangu katika mtego huu nimeyahifadhi pamoja na majibu ya fedheha waliyoambulia kutoka kwake.

TCRA

Sitaki kusikia vitisho vyovyote kutoka TCRA kwani makakati wa wahusika hawa unahusisha jinai.Labda watoe ufafanuzi na kuangalia upya sheria ya jinai.Sitaacha kujilinda ninapoweza kisa kuna sheria mbovu ya kupambana na CYBER CRIME.Kama sheria imeacha loophole na kuniumiza basi nitachukua jukumu la kujilinda.uwezo huu ninao.

2 comments:

  1. Anonymous9:22 AM

    SPEECHLESS....NNASEMA MIMI KM KADA WA CHADEMA ....HAWA WATU WASHITAKIWE MARA MOJA NA IKIBID CHADEMA WAWE MAKIN

    ReplyDelete
  2. Anonymous4:30 PM

    ccm wao muda wote wanawaza ngono! eti huyo dada anataka jamaa amuandalie muda wakastarehe znz uuuwiii!

    ReplyDelete