Advertise with Us

Advertise with Us

DHall

DHall

Pages

August 13, 2013

Breaking News: CCM yafukuza madiwani Kagera!


Wakati mgogoro kati ya Meya wa Bukoba na Balozi Kagasheki ambaye pia ni waziri wa maliasili na utalii ukiendelea kufuka moshi hali imeendelea kuwa tete kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Kagera baada ya Chama hicho kulazimika kuwafukuza na kuwavua Uongozi madiwani8, hatua hiyo imetokana na kile kinachosemwa na chama hicho kwamba ni kitendo cha madiwani hao kukivuruga chama hicho na kukaidi kauli ya rais iliyokuwa ikilenga katika kumaliza mgogoro kati ya Meya wa Bukoba na Balozi Kagasheki.

1 comment:

  1. Anonymous3:24 PM

    si waliponda Chadema kuwavua uongozi madiwani 4 kule arusha?

    ReplyDelete