Advertise with Us

Advertise with Us

DHall

DHall

Pages

December 21, 2011

Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zasababisha Mafuriko na hata Maafa, Nyumba katika Maeneo kadhaa zafurika maji, Madaraja kadhaa yavunjika na kupelekea adha ya Usafiri..

Daraja la Mbezi Bondeni linalotenganisha eneo la Kawe Ukwamani na Tangi Bovu



Hawa ni Wananchi waliokuwa wakivuka kwa miguu katika daraja lenye hatari ya kuvunjika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wakitokea Tangi Bovu baada ya Magari yaliyokuwa yakielekea katika maeneo ya Mwenge na katikati ya jiji kushindwa kuvuka kwenda upande wa pili.


Hawa ni Wananchi waliokuwa wakivuka kwa miguu katika daraja lenye hatari ya kuvunjika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wakitokea maeneo ya Mwenge baada ya Magari yaliyokuwa yakielekea Maeneo ya Mbezi Beach, Tegeta, Bagamoyo kushindwa kuvuka kwenda upande wa pili.


2 comments:

  1. Anonymous4:51 AM

    ndio matokeo ya ujenzi mbovu wa miundombinu zetu

    ReplyDelete
  2. Mr Seth11:56 AM

    Sante kwa taarifa Mkami

    ReplyDelete