Advertise with Us

Advertise with Us

DHall

DHall

Pages

October 25, 2013

Huyu ndiye Mtanzania anayetudhalilisha watanzania nchini Uingereza!

 Flora Lyimo akiwa kazini

 Kushoto ni mwanadada Flora Lyimo akiwa katika picha ya pamoja na Naibu katibu Mkuu wa CCM Taifa Mhe. Mwigulu Nchemba wakati alipofanya ziara yake nchini uingereza.

Flora Lyimo katika moja ya pozi zake

Imekuwa ni jambo la kawaida kabisa haswa kwa baadhi watanzania wanaoishi nje ya nchi haswa haswa wale wanaoishi katika nchi mbalimbali za ulaya kufanya vitendo visivyo vya kistaarabu na vinavyolenga moja kwa moja kuudhalilisha sio tu utu wa mwanadamu bali kumdhalilisha Mtanzania na Taifa zima kwa ujumla wake. 


Swali langu ni je Sheria za nchi yetu zinasemaje kuhusiana na watu wa aina hii, Kama hakuna sheria inayoweza kusimamia tabia kama hii je Serikali ina mpango gani? Au serikali na wananchi kwa ujumla tumeridhika? 



No comments:

Post a Comment