Advertise with Us

Advertise with Us

DHall

DHall

Pages

October 28, 2013

Jamal Malinzi achaguliwa kuwa Rais mpya wa TFF!


Rais mpya wa TFF Jamal Emil Malinzi
Habari zilizotufikia Maisha Times zinasema kwamba Jamal Emil Malinzi amefanikiwa kushinda uchaguzi wa TFF kwa nafasi ya urais aliyokuwa anagombea dhidi ya Makamu wa zamani wa Rais wa TFF Athumani Nyamlani.
Jamal Malinzi ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha soka cha mkoa wa Kagera ameshinda uchaguzi huo ikiwa ni mara yake ya pili kugombea baada ya kushindwa na Rais wa zamani wa TFF Leodgar Chillah tenga mwaka 2008.

No comments:

Post a Comment