Advertise with Us

Advertise with Us

DHall

DHall

Pages

October 31, 2013

Serikali yabadilisha Viwango vya Ufaulu Elimu Kidato cha Nne-Sita!

 Katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi Profesa Sifuni Mchome


Serikali imebadilisha viwango vya ufaulu wa elimu ya kidato cha nne na sita ambapo daraja la sifuri sasa limefutwa na imeongeza daraja la tano kiwango cha alama ya F ambayo sasa itakuwa alama kati ya 0 hadi 20. Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi Profesa Sifuni Mchome wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mabadililo hayo.

No comments:

Post a Comment